#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

Aliyeleta hizo amri za kijinga kwamba kifo cha Corona kitangazwe na hao watu aliishajifia kitambo na amri zake, wewe inaonekana bado una muota unatakiwa sasa ukalinde kaburi.
Mbona kaka wa mbowe nae amejifia
 
Kumbe na chadema nao wanakufa kama JPM. Mbona sasa wanamcheka kufa kwa mkulu?
 
Nani anaruhusiwa kupokea taarifa ya ugonjwa uliomuoa marehemu Charles mbowe ,kati yahao uliowataje

Amka ukowap ww
 
Mlitaka aseme mfumo wa umeme ulikata?

Tuwekeni wazi sababu za vifo kuyanusuru maisha ya wengine hasa waliopotoshwa kutokea awamu ile ya giza.

Lakini aliyekufa tena kwa Corona ni ndugu yake na mtu anayetoa awareness ya ugonjwa huu na alikiri kuchanjwa.Iweje ndugu yake tena wa karibu kabisa afe kwa Corona,nilidhani wao ni exceptional maana wamechukua tahadhari zote.
 
Mlioamini hivyo mpo na mnajifahamu vyema.

Ambao hawakuamini mbona ndiyo wanakufa sasa! katika watu wote The Mbowe’s wanapaswa kuwa exceptional kufa kwa Corona ukizingatia wamefuata taratibu zote za kisayansi kujikinga,mbona sasa inakuwa kinyume chake.
 
Ametangaza kifo na sio vifo. Na nini kifo cha Kaka yake na yeye kama ndugu na mfiwa anajua kilichomuua ndugu yake.
 
Lakini aliyekufa tena kwa Corona ni ndugu yake na mtu anayetoa awareness ya ugonjwa huu na alikiri kuchanjwa.Iweje ndugu yake tena wa karibu kabisa afe kwa Corona,nilidhani wao ni exceptional maana wamechukua tahadhari zote.

Ugonjwa huu si sawa na ukimwi ambao mtu unaweza kujipanga kutougua.

Kuchanjwa kachanjwa Freeman. Alikwambia familia yote imechanjwa? Kuchanjwa dhidi ya ugonjwa hakuna maana ya kutokuugua.

Katika jamii ambayo haichukui tahadhari hayupo aliye salama.
 
Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake

Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?

Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Umeandika nini mkuu?
Umesoma vyema alichosema Mbowe kabla ya kuandika huu ujinga?
Kwanini usiwe na tabia ya kusoma kitu na kukitafakari kabla ya kuandika?
Ukifanya hivyo itakusaidia kupunguza kuandika UGORO.
 
Umeandika nini mkuu?
Umesoma vyema alichosema Mbowe kabla ya kuandika huu ujinga?
Kwanini usiwe na tabia ya kusoma kitu na kukitafakari kabla ya kuandika?
Ukifanya hivyo itakusaidia kupunguza kuandika UGORO.
Cha kwako ulichoandika ni kipi?
 
Ugonjwa huu si sawa na ukimwi ambao mtu unaweza kujipanga kutougua.

Kuchanjwa kachanjwa Freeman. Alikwambia familia yote imechanjwa? Kuchanjwa dhidi ya ugonjwa hakuna maana ya kutokuugua.

Katika jamii ambayo haichukui tahadhari hayupo aliye salama.
Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?
 
Ambao hawakuamini mbona ndiyo wanakufa sasa! katika watu wote The Mbowe’s wanapaswa kuwa exceptional kufa kwa Corona ukizingatia wamefuata taratibu zote za kisayansi kujikinga,mbona sasa inakuwa kinyume chake.
Inasikitisha
 
Una hangover ya mwendazake.
Dalili za ugonjwa kila mtu anazijua, Kama wewe hujui , uliza uambiwe.
 
Back
Top Bottom