Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuwa na sifa za kondoo huyu. Kama amependelewa sana, atakuwa mbweha.Wewe mtoa mada ni KONDOO.
Nyie endeleeni kuamini katikaMbowe kawa ndio msemaji wa korona
Mlitaka aseme mfumo wa umeme ulikata?
Tuwekeni wazi sababu za vifo kuyanusuru maisha ya wengine hasa waliopotoshwa kutokea awamu ile ya giza.
Siku Corona ikimuua bwana ako, tutamuambia MUSIBA atangaze,
Dikteta aliipuuza Corona ikamuua
Mlioamini hivyo mpo na mnajifahamu vyema.Kaka wa mbowe alikuwa anajifukiza pia?
Mlioamini hivyo mpo na mnajifahamu vyema.
Mbavu zangu....Nenda kamwambie aliechukua akili zako akurudishie.
Lakini aliyekufa tena kwa Corona ni ndugu yake na mtu anayetoa awareness ya ugonjwa huu na alikiri kuchanjwa.Iweje ndugu yake tena wa karibu kabisa afe kwa Corona,nilidhani wao ni exceptional maana wamechukua tahadhari zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake
Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?
Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Umeandika nini mkuu?Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Cha kwako ulichoandika ni kipi?Umeandika nini mkuu?
Umesoma vyema alichosema Mbowe kabla ya kuandika huu ujinga?
Kwanini usiwe na tabia ya kusoma kitu na kukitafakari kabla ya kuandika?
Ukifanya hivyo itakusaidia kupunguza kuandika UGORO.
Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?Ugonjwa huu si sawa na ukimwi ambao mtu unaweza kujipanga kutougua.
Kuchanjwa kachanjwa Freeman. Alikwambia familia yote imechanjwa? Kuchanjwa dhidi ya ugonjwa hakuna maana ya kutokuugua.
Katika jamii ambayo haichukui tahadhari hayupo aliye salama.