#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

#COVID19 Mbowe ni nani hadi atangaze vifo vya wagonjwa wa Corona?

Mwaka Jana kamanda mbowe alikuwa anajifungia nyuma yake kukiwa na bendera ya Taifa akihutubia nchi kuhusu corona.sina uhakika kama ataanza tena
 
Mwaka Jana kamanda mbowe alikuwa anajifungia nyuma yake kukiwa na bendera ya Taifa akihutubia nchi kuhusu corona.sina uhakika kama ataanza tena
Ndiyo ameshaanza tena, sijui atapata dola ngapi nchi ikiwekwa lockdown.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Unachekesha kwa kuhangaishwa na yasiokuhusu. Siku akifa wa kwako peleka hata kwa Mama ili wakutangazie.
 
Umeandika nini mkuu?
Umesoma vyema alichosema Mbowe kabla ya kuandika huu ujinga?
Kwanini usiwe na tabia ya kusoma kitu na kukitafakari kabla ya kuandika?
Ukifanya hivyo itakusaidia kupunguza kuandika UGORO.
Tatizo huyu mbwiga kigololi kikimshuka akili zinahama kichwani zinashuka chini.
 
Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamuView attachment 1846661
Mbwa hawezi kumuongoza binaadamu, kwa maana kama nchi hii inaongozwa na ccm ambayo imejitoa ufahamu sasa hapo unadhani hiyo nchi watu wake wakoje? Ndio maana tunaona Mbowe anajitangaza kwa sifa kudungwa chanjo ya corona halafu kumbe kashindwa hata kushawishi ndugu yake kudungwa nae chanjo matokeo yake corona imempitia kama Magufuli.
 
Huyu Mbowe si ajabu familia yake haijachanjwa chanjo ya corona ila yeye anajitangaza wazi kwa sifa kuwa kadungwa Astrazeneca, sasa hiyo si akili mbovu wewe umejikinga halafu familia yako corona inapita nayo.
 
Mbwa hawezi kumuongoza binaadamu, kwa maana kama nchi hii inaongozwa na ccm ambayo imejitoa ufahamu sasa hapo unadhani hiyo nchi watu wake wakoje? Ndio maana tunaona Mbowe anajitangaza kwa sifa kudungwa chanjo ya corona halafu kumbe kashindwa hata kushawishi ndugu yake kudungwa nae chanjo matokeo yake corona imempitia kama Magufuli.
Wewe shida yako ulitaje tu hilo jina la Mbowe.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Hutaki au? Kafungue jalada porishi poshti chaaap!!!
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Duh!!!! Mataga mna kazi!!! Ndugu yangu kafa kwa Corona mnataka nifiche!!!! Huu ugonjwa upo na kama hamchukui tahadhari itakuwa balaa!!!
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Kama imekuuma chomoa Kwanza ujambe
 
Kwani ugonjwa wa corona ni siri hadi watu waogope kutangaza? Ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu!

Ni sawa tu na mtu kaugua kichwa, pressure, kisukari, malaria, AIDS, etc, hamna cha ajabu hapo! Acheni kukuza vitu vya ajabu!!

Kwanza kuutangaza ni kuongeza awareness, watu wachukue tahadhari!

Hamna jipya! Kojoa kalale.
sisi yanatuhusu nini sasa.hayuhusu na sisi tuna ya kwetu mbona hatuyatangazi humu ndani.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Imekuuma sana Mbowe kuwa alivyo! Meza wembe.
Na isitoshe hao "uma" wa watanzania wasio na imani naye ni kina nani kama si kina polepole na mwigulu/kabudi? (Ambao ni magarasa tupu). Au majaliwa aliyedai "jiwe" yupo mzima anachapa kazi wakati alishadanja ndiyo wa kuaminika MATAGA BURE KABISA!?
 
Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake

Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?

Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Good example of political oxymoron.
 
Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!

Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?

Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na

1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari

Je, Mbowe ni nani kati ya hao?

Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.

View attachment 1846603
Ametoa taarifa kama/sababu:
..mwanafamilia
..hakuna sheria inayomzuia kufanya ivyo,matamko sio sheria
..katoa tahadhari ya uwepo wa korona,km m/kiti wa chama kikuu cha upinzani anaaminika na kuheshimika
Kama Rais wako kampa pole,ingekuwa ni uungwana sana na wewe kutoa pole kuliko kuhoji na kumkosea adabu kipindi hiki cha majonzi kwake
 
Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?

Kwani yeye anazo chanjo za kuchanja watu?

Hujui serikali haitaki chanjo kuingizwa nchini?

Serikali haiwezi kukwepa lawama kwa vifo vyote hivi tokea enzi za michai chai, nyungu, malimao na upuuzi wote wa awamu ile.
 
Imekuuma sana Mbowe kuwa alivyo! Meza wembe.
Na isitoshe hao "uma" wa watanzania wasio na imani naye ni kina nani kama si kina polepole na mwigulu/kabudi? (Ambao ni magarasa tupu). Au majaliwa aliyedai "jiwe" yupo mzima anachapa kazi wakati alishadanja ndiyo wa kuaminika MATAGA BURE KABISA!?
Alitokaje kuwa na wabunge 100 hadi kubaki mmoja?
 
Back
Top Bottom