Hangaika na familia yako. Achana na familia ya Mbowe.Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?
Haikuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hangaika na familia yako. Achana na familia ya Mbowe.Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?
Ujue kuna watu akili zao wameshikiwa na watu wengine hivyo inabidi kuwakumbusha.Mbavu zangu....
Harafu utakuta hapo mwenyewe ndio anaona ameandika bonge la point🤣🤣🤣🤣Hata hiyo ya kujua kuwa akili yake amechukuliwa,hajui.
Hilo la kumjua aliyemchukulia atalijuajee!?
Unachekesha kwa kuhangaishwa na yasiokuhusu. Siku akifa wa kwako peleka hata kwa Mama ili wakutangazie.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Tatizo huyu mbwiga kigololi kikimshuka akili zinahama kichwani zinashuka chini.Umeandika nini mkuu?
Umesoma vyema alichosema Mbowe kabla ya kuandika huu ujinga?
Kwanini usiwe na tabia ya kusoma kitu na kukitafakari kabla ya kuandika?
Ukifanya hivyo itakusaidia kupunguza kuandika UGORO.
Mbwa hawezi kumuongoza binaadamu, kwa maana kama nchi hii inaongozwa na ccm ambayo imejitoa ufahamu sasa hapo unadhani hiyo nchi watu wake wakoje? Ndio maana tunaona Mbowe anajitangaza kwa sifa kudungwa chanjo ya corona halafu kumbe kashindwa hata kushawishi ndugu yake kudungwa nae chanjo matokeo yake corona imempitia kama Magufuli.Sifa kuu ya kuwa mwanaccm ni kujitoa ufahamuView attachment 1846661
Wewe shida yako ulitaje tu hilo jina la Mbowe.Mbwa hawezi kumuongoza binaadamu, kwa maana kama nchi hii inaongozwa na ccm ambayo imejitoa ufahamu sasa hapo unadhani hiyo nchi watu wake wakoje? Ndio maana tunaona Mbowe anajitangaza kwa sifa kudungwa chanjo ya corona halafu kumbe kashindwa hata kushawishi ndugu yake kudungwa nae chanjo matokeo yake corona imempitia kama Magufuli.
Hutaki au? Kafungue jalada porishi poshti chaaap!!!Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Duh!!!! Mataga mna kazi!!! Ndugu yangu kafa kwa Corona mnataka nifiche!!!! Huu ugonjwa upo na kama hamchukui tahadhari itakuwa balaa!!!Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Kama imekuuma chomoa Kwanza ujambeNimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
sisi yanatuhusu nini sasa.hayuhusu na sisi tuna ya kwetu mbona hatuyatangazi humu ndani.Kwani ugonjwa wa corona ni siri hadi watu waogope kutangaza? Ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu!
Ni sawa tu na mtu kaugua kichwa, pressure, kisukari, malaria, AIDS, etc, hamna cha ajabu hapo! Acheni kukuza vitu vya ajabu!!
Kwanza kuutangaza ni kuongeza awareness, watu wachukue tahadhari!
Hamna jipya! Kojoa kalale.
Imekuuma sana Mbowe kuwa alivyo! Meza wembe.Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Good example of political oxymoron.Samia hana nia ya dhati kabisa kupambana na corona ukiangalia mienendo yake
Yaani unakusanya watu morogoro na kuwaambia wasikusanyike?
Kama ni ujinga basi huu ni ujinga kiwango cha PhD
Ametoa taarifa kama/sababu:Nimekutana na video ya Freeman Mbowe mitandaoni akitangaza msiba wa kaka yake Charles Mbowe kuwa amefariki kwa ugonjwa wa Corona!
Swali Mbowe amekuwa nani wa kutangaza magonjwa ya Corona?
Agizo lilipo mpaka sasa ni kwamba ugonjwa wa Corona utaongelewa na kutangazwa na
1. Waziri mkuu
2. Rais
3. Waziri wa afya
4. Madaktari
Je, Mbowe ni nani kati ya hao?
Licha ya hivyo Mbowe haaminiki mbele ya uma wa Tanzania tokea siku ile alipoangushwa na konyagi alafu akaitangazia dunia kuwa amepigwa na wasiojulikana ili tu apate kiki kisiasa.
View attachment 1846603
Kumbe ni mbinafsi kiasi cha kushindwa kuchanja familia nzima?
Alitokaje kuwa na wabunge 100 hadi kubaki mmoja?Imekuuma sana Mbowe kuwa alivyo! Meza wembe.
Na isitoshe hao "uma" wa watanzania wasio na imani naye ni kina nani kama si kina polepole na mwigulu/kabudi? (Ambao ni magarasa tupu). Au majaliwa aliyedai "jiwe" yupo mzima anachapa kazi wakati alishadanja ndiyo wa kuaminika MATAGA BURE KABISA!?
Kwa sababu mliiba UCHAGUZI mzima na sio kuiba KURA kama mlivyokuwa mnaiba awaliAlitokaje kuwa na wabunge 100 hadi kubaki mmoja?