Mbowe ni zaidi ya msaliti na laghai wa kisiasa. Mimi nilitarajia awe Ngangari kama Lipumba wa CUF

Mbowe ni zaidi ya msaliti na laghai wa kisiasa. Mimi nilitarajia awe Ngangari kama Lipumba wa CUF

Yaani misukosuko ya kukaa rumande iwe sababu ya kuwasaliti watanzania waliojitoa kwa ajili ya upinzamni?

Wale waliomwaga damu zao kwenye mabu ya Arusha, waliouwawaa huko Morogoro.

Daudi Mwangosi?

Kisa tu asali za kuzaliti mapambano.
umeacha kumlilia bwanako Sabaya siku hizi [emoji28][emoji28]yupo pale Jela Karanga anaendelea kunyea debe,kazi anayo
 
Chadema hakuna kiongozi zaidi ya Mbowe, Sugu na Msigwa, hawa na mates waliyiyapitia hawakimbilia Ughaibuni, wamesota na wanachama wao, sio kama hao waliokwama ughaibuni na kubakia kurusha madongo yasiifika popote, hao bado wanaliogopa KABURI LA JIWE
Tokazako

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom