Pre GE2025 Mbowe: Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, Kamanda naingia mzigoni

Pre GE2025 Mbowe: Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, Kamanda naingia mzigoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.

Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
 
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.

Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
CHADEMA ni taasisi imara sana chini ya Captain MBOWE, Ila itaimarika zaidi chini ya uongozi wa Tundu Lissu
 
Nilikuwa natamani sana CCM kitoke madarakani na nilikuwa nadhani CHADEMA wana nia ya dhati ya kuitoa lakini kwa tanayoendelea kwenye chama nafikiri hata jina la chama libadilike. Huwezi ukatuaminisha ni chama cha demokrasia wakati akijitokeza mtu mwingine kugombea anaonekana ni haini ndani ya chama.

Nilitamani sana mwenyekiti Mbowe aachie watu wengine wakiongoze chama maana Mbowe kazoeleka mno tunahitaji watu wengine ambao sio ma puppet ambapo kwa kweli Lissu hata kama utamuua lakini sidhani kama anaweza kuitumikia Ccm.

Dhana ya chama cha wachagga nadhani inaenda kudhihirika rasmi na kufanyiwa figisu kwa Lissu kutapunguza sana wanachama na wapenzi wa Chadema.
 
"Huwezi kujaribisha kuonja sumu kwa ulimi".
Wote wagombee apatikane mshindi.Atayepinga matokeo ndio atakuwa anakibomoa Chama.
 
Back
Top Bottom