ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vijana wa hovyo kama.Lisu Wana Msaada gani?Hizi blaki zinaharibu sana
Huyu jamaa ni mzee mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa hovyo kama.Lisu Wana Msaada gani?Hizi blaki zinaharibu sana
Huyu jamaa ni mzee mno
Ndio hao hao 🤣🤣Hawa vibaka si ndio wale waliochoma mavazi mchana kweupe?
Miaka 63 ni Mzee? Samia ana miaka mingapi?Hizi blaki zinaharibu sana
Huyu jamaa ni mzee mno
Kamanda tunamsihi apumzike kwa Amani. Kulinda heshima Yake.Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Kweli tumejiuliza wengi hili swaliNa siku akiwa hayupo kabisa itakuaje?
Dah 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Ndio hao hao 🤣🤣
Kwa hiyo Mzee Mbowe ni kijana ?Miaka 63 ni Mzee? Samia ana miaka mingapi?
Sio mzeeKwa hiyo Mzee Mbowe ni kijana ?
Na wezee wanjinga kama Mzee Mbowe wanayofaida gani kwa nchi ?Vijana wa hovyo kama.Lisu Wana Msaada gani?
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Ni mzee anastahili awe ana wajuuku na kama alishapitiliza umri wankustaafu tena kwa mbali.Sasa kama huyu mzee Mbowe sio Mzee jame yule kijana wake anaitwa dude ni nani ?Sio mzee
Chake iiih nalo neno "Eti chama chake😂😂
Ni Idea ya kipuuzi, sasa huyu Mtu akijakuwa Raisi wa Jamhuri wa Muungano si atabadilisha Katiba ili kuondoa ukomo wa uongozi ili mpaka afie Ikulu?!Ndio idea ya Mbowe hiyo. Bila yeye hakuna CHADEMA
Lisu anaenda kuungana na Msigwa ACTNimekisikia chuma kinasema hivyo, kama Lissu hajaingia madarakani amekipasua chama, akiingia je? Chama kitapasuka
Mwenyekiti wa maisha huyoMwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Lissu amekipasuaje chama?Nimekisikia chuma kinasema hivyo, kama Lissu hajaingia madarakani amekipasua chama, akiingia je? Chama kitapasuka