Pre GE2025 Mbowe: Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, Kamanda naingia mzigoni

Pre GE2025 Mbowe: Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, Kamanda naingia mzigoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Freeman kachanganyikiwa...kwani yeye anataka awe mwenyekiti mpaka lini?....
Huyu jamaa anawapiga wenzie...kwa wanaomjua wala hawashangai...Lissu kwa sasa ni mtu sahihi ili kuvunja ndoa ya Freeman na CCM...
 
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.

Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Kamanda tunamsihi apumzike kwa Amani. Kulinda heshima Yake.
 
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.

Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha

Mentality za dictator hizo. Pia huyu atakuwa na kadi ya ccm mfukoni
 
Kigaila anamuangalia lisu kwa jicho Kali sn,sijui chuki au vinginevyo sijui🤔
 
Ndio idea ya Mbowe hiyo. Bila yeye hakuna CHADEMA
Ni Idea ya kipuuzi, sasa huyu Mtu akijakuwa Raisi wa Jamhuri wa Muungano si atabadilisha Katiba ili kuondoa ukomo wa uongozi ili mpaka afie Ikulu?!
 
Labda ana jina mfukoni who knows
Siasa za Afrika ni burudani tosha 😄 🤣
 
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.

Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Mwenyekiti wa maisha huyo
 
Nimekisikia chuma kinasema hivyo, kama Lissu hajaingia madarakani amekipasua chama, akiingia je? Chama kitapasuka
Lissu amekipasuaje chama?
Mimi nafuatilia sana hoja za Lissu lakini sijaona hata hoja moja ya kukipasua chama.
 
Back
Top Bottom