Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una Hoja.Chadema ibadilishwe jina, iitwe Mbowe Saccos
Kama ni hivyo basi akitoe kwenye usajili wa vyama vya Siasa akiite Kilimanjaro Natives sijui nini...ili kiwe cha kufa na kuzikana awe anakusanya michango ya kupeleka maiti Moshi.Mbowe anaiona CHADEMA kama Mali yake binafsi.
IPO HIVI. TUNACHOOGOPA NI MWENYEKITI MTEULE KUAMUA KUUNGA JUHUDI KAMA MSIGWA.Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHPUNGUADEMA. Wengine wataizamisha
Na Kagame anaionaje Rwanda!Mbowe anaiona CHADEMA kama Mali yake binafsi.
Bila Mimi, Uganda itazama kwenye ziwa Victoria" Alisikia Babu M7"Bila mimi Zimbabwe haiwezi kusonga mbele..."alisikika Robert Mugabe.
Hii kauli ina ukweli usiibeze ."Bila mimi Zimbabwe haiwezi kusonga mbele..."alisikika Robert Mugabe.
Kwa hiyo huu upuuzi unaofànywa ña CCM kwa miaka zaidi ya 63 wa kulea umaskini na kuzalisha ujinga ndio mnajivunia!Ndio ukweli ,embu jiulize chama kama chadema kupewa nchi ?
Fuatilia vizuriLissu amekipasuaje chama?
Mimi nafuatilia sana hoja za Lissu lakini sijaona hata hoja moja ya kukipasua chama.
Usiitaje ccm tunapoongelea mambo ya siasa, maana ccm sio chama cha siasa, bali kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.Hili kwa sasa liko wazi, CDM itabaki sana sana Uchagani, na Mboyee akishinda tutegemee by 2035 CDM ikiwa Hoi na CCM ikijiimarisha zaidi.
I second this!
Ni Cha kwao binafsi, familia ya Mzee Mtei na Mbowe zingatia Chama changuMwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Siasa safi ndivyo zilivyo !!
😳🙄 !!Usiitaje ccm tunapoongelea mambo ya siasa, maana ccm sio chama cha siasa, bali kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
Na kweli ukienda Zimbabwe leo bora enzi ya Bob Mugabe"Bila mimi Zimbabwe haiwezi kusonga mbele..."alisikika Robert Mugabe.
Hii hoja wanaambiwa hawaamini, lakini ndo ukweliHili kwa sasa liko wazi, CDM itabaki sana sana Uchagani, na Mboyee akishinda tutegemee by 2035 CDM ikiwa Hoi na CCM ikijiimarisha zaidi.
I second this!
Mbowe akigombea tena watu wengi wataanza kuamini matusi ya maccm kuwa cdm ni mali yake.Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha