Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataishi milele na milele ,AminaMwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Hili kwa sasa liko wazi, CDM itabaki sana sana Uchagani, na Mboyee akishinda tutegemee by 2035 CDM ikiwa Hoi na CCM ikijiimarisha zaidi.Dhana ya chama cha wachagga nadhani inaenda kudhihirika rasmi
I second this!Chadema ibadilishwe jina, iitwe Mbowe Saccos
Yupo sahihi kabisa, hakuna anayeijua CDM na mwenye uzalendo kwa CHAMA kama Freeman Mbowe.Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Mwamba nimemsoma hagombei kwa sasa. Atakua bega kwa bega na watu wake akiona hakieleweki ana rudi mwenyeweMwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Hamna kitu kama hicho ina maana bila Mbowe Chadema haiwezi kuwepo. Tuacheni demokrasia ichukue nafasi Lissu angekuwa hana uzalenda kwa chama asingeweza kuyaacha mamilioni ya Abdul, Lissu anaweza akawa na madhaifu mengine lakini si hili la uzalendo kwa chamaYupo sahihi kabisa, hakuna anayeijua CDM na mwenye uzalendo kwa CHAMA kama Freeman Mbowe.
Kuingia mzigoni inawezekana ni kueliminate wanaotaka kukizamisha💀Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Na CCM wansdai bila wao hakuna TanzaniaNdio idea ya Mbowe hiyo. Bila yeye hakuna CHADEMA
Ndio maana tunawambia mtimueni Mbowe hamtuelewi kabisa🙆♂️🙆♂️🙆♂️Hili ndio tatizo la upinzani nchi hii , kuna watu wapuuzi ni undercover humo , wanatumika kuharibu juhudi za mageuzi ya kisiasa nchi hii
Mwenyekiti anaye maliza muda wake, Freeman Mbowe amesema ya kwamba iwapo ataona chama chake Cha CHADEMA kinataka kuzamishwa basi ataingia mzigoni. Kwa maana nyingine atagombea uenyekiti wa CHADEMA. Je nani anataka kugombea uenyekiti akizamishe chama.
Kwa kauli hii ya Mbowe Ina maana atagombea uenyekiti. Nadhani Mbowe anafikiri yeye tu ndio mwenye uwezo wa kuisimamisha CHADEMA. Wengine wataizamisha
Na siku akiwa hayupo kabisa itakuaje?Mwamba nimemsoma hagombei kwa sasa. Atakua bega kwa bega na watu wake akiona hakieleweki ana rudi mwenyewe
Kwani ni cha nani?Eti chama chake😂😂
Hakuna kificho na chama cha Mzee MboweKwani ni cha nani?
Ndio ukweli ,embu jiulize chama kama chadema kupewa nchi ?Na CCM wansdai bila wao hakuna Tanzania