ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Bado Kitima mtakuja na mapovu pipaVile Wewe mama ila Wanaume hawaogopi kunyea debe π
Mumeo Ngada zilishamnyesha debeni mara kadhaa ππ
Ila hatuuwi kama nyie πππBado Kitima mtakuja na mapovu pipa
Liar!
Lissu amepitia near death experience, mbowe ameshawahi pitis hiyo?Lissu hajawahi kuishi gerezani hata nusu saa.
Kwa hiyo, hajui machungu ya gerezani.
Leo Slaa kadakwa usiku,Lissu ,kakimbia hajulikani aliko,sebuse gerezani?
Kwani hakuna Taasisi nyengine za kidini upande wa Uislamu isipokua bakwata?TEC, CCT, Pentecostal and Bakwata
Ndivyo uwakilishi wa Kidini ulivyoπΌ
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Hivi Tanzania dhehebu ni la mufti tuMufti anawakilisha waislamu wote, kila askofu anawakilisha dhehebu lake.
Hawa viongozi walienda kila mtu peke yake au kwa pamoja, na ilikuwaje wote wakawa na wazo moja?Kwanini maaskofu wawe watatu na Mufti awe peke yake ?
Mbowe angekaa kimya angeheshimika zaidi kuliko sasa anaongea ujinga mtupu anazidi kujimalizaMwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Mbowe anaficha vingi hata kungβangβania Uenyekiti ni kutaka afiche maovu yake wizi wale ufisadi wake kwa pesa za chamaMbona alipoulizwa na akina Lissu kuwa wameongea nini huko Ikulu? Mbowe akawajibu kuwa sio kila anachoongea na Rais lazima awaambie mengine ni SIRI yake na Samia.
Huyu Mwenyekiti anatuficha nini kama sio kupewa RUSHWA.π€
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π
Mbowe ni division zero form six ndiyo maana kamteua wenye zero brain awe msaidizi wake, pata picha mbowe mwenyekiti na makamu wale ni Wenje Dalali ni hatari kubwa, chadema itakuwa chama cha hovyo kama Lipumba na CUF yakeAna udhaifu Alikua anajificha kwenye neno busara, kumbe kichwani mwepesi
sijui.Hivi Tanzania dhehebu ni la mufti tu
Mbowe ni mjinga sana ..mwenzake mzee Madiba alikua anafuatwa sn na kupewa ahadi nzuri tu lkn mandela aliyagomea makaburu mpaka yaache ubaguz na kweli kaburu akasanda huyu mbowe ovyo kabsaMwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amesema siku Moja kabla hajatoka Gerezani maaskofu Watatu na Mufti walimfuata na kumwambia Serikali haitaki kuendelea na KESI yake na Rais Samia ameomba akutane naye
Mbowe anahoji YEYE kama Mbowe angekataaje?
Jumaa Mubarak π