Mbowe: Niliona John Heche anapotea kisiasa, nikamteua Mjumbe wa Kamati Kuu

Mbowe has a God complex.
 
Umenena vyema, Heche bado ana nafasi kubwa ya kuwa makamo endapo atakili kwamba anaweza kufanya kazi na Mwamba ili baada ya miaka 3 tu tunampa uongozi mkuu wa chama.
Kwani ameonyesha heshima na kutambua mchango wa Mh mbowe.

Kumbuka uchaguzi ujao utawahi ili kutoendana na ratiba ya uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…