Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shea gani kapewa?Ameshapewa shea yake ya pesa huko nje sasa kaja kuishikia bango hiyo chanjo...
Hata jiwe mlimuandalia mazingira ya kudumu lkn mungu akakataaMwenyekiti wa kudumu kapata chanjo , pongezi kwake tafadhali
HujalazimishwaHapo mwamba sijamkubali
InauaFafanua
Yule mwenye PhD yuko wapi muda huu?Kweli Statements zake zina relate na matokeo yake ya Advance.
Sasa unatukana nini na wewe?Shea gani kapewa?
Na lazima chanjo italetwa tu utake usitakeAmeshapewa shea yake ya pesa huko nje sasa kaja kuishikia bango hiyo chanjo...
Labda wewe ndiyo hujachanjwa lkn binafsi nimepata chanjo hapo Kenya.Mwambieni kamanda wenu awanyunyuzie hiyo aliyopigwa yeye...huku hatutaki ujinga ujinga wa kufuata mikumbo..
Polepole alikuwa anatamba wakati wa msukuma mwenzakePolepole anaanza lini ziara za kukiimarisha chama?
Hamna magonjwa mengine yanayoua?Inaua
Hapa ni kujiongeza vinginevyo ni msibaHuku mpaka kamati iundwe kwanza.
Huyo aliyebeza chanjo leo yuko wapi ?Huyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Sembuse na sasa hivi wameachwa wajaneShea gani kapewa?
Wee jamaa bhana hiyo chanjo ni lazma siyo ombi.. Kama wewe siyo mfanyabiashara unafanya nje ya mipaka ni lazma jiwe aliwaharibu sana vichwa vyenu...Ameshapewa shea yake ya pesa huko nje sasa kaja kuishikia bango hiyo chanjo...
Wewe legeza kiuno korona itakuzoaWale bavicha wanaomtetea mwenyekiti waje kumuuliza kama anawajali sana kwanini hajawapeleka wote Dubai kupata chanjo,
Mara zote huwa tunasema hapa hao ikaja siku amani imepotea wataondoka na familia zao wawaacheni mkiusikia mziki wake.