Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Aliyekataa chanjo tayari yupo peponi
Mimi nilikuwa nahoji tu kama familia ya Mwenyekiti wetu nayo imepata chanjo ya Corona. Sikuwa na access ya kusikiliza hotuba yake live. Ila kama kapata chanjo peke yake basi Mwenyekiti wetu ajitafakari sana.
 
Hatuwezi kukuamini mpaka tuone picha halafu nyinyi si mnajifanya mnapenda uwazi sasa mbona chama hakija toa hii taarifa mpaka hii leo.
 
Nilifikiri Mbowe atawaletea na wafuasi wake wachanjwe
 
Hatuwezi kukuamini mpaka tuone picha halafu nyinyi si mnajifanya mnapenda uwazi sasa mbona chama hakija toa hii taarifa mpaka hii leo.
Hulazimishwi usipochukua tahafhali tutakuzika tu na baada ya siku 2 tuanakusahau tu
 
Au hii chanjo ndiyo ilipelekea akaumwa sana mpaka kupotea kwa kipindi fulani, usikute damu ya mwenyekiti wetu iliganda.
Mtu asijisifu kwa kupata chanjo akaona ndio amefika.Kumbe mambo bado kabisa.
Astrazeneca inasemekana kuna watu imewagandisha damu halafu wanasema haina nguvu kwa kiasi kikubwa kwa aina nyengine zitokanazo na covid 19 mfano ile inayoitwa South Africa variant.
Brzazil ndio wa mwanzo kuchukua chanjo za kichina Sino. Leo wamesema chanjo hizo ni dhaifu sana hata asilimia 50 haifikii vizuri.Hayo ni matokeo ya awali tu Hatujui itakuwaje baada ya mwaka mmoja kwa akina Mbowe waliochanjwa mapema.
 
kama umepata chanjo si inatosha mzee?

sasa unataka na sisi tufuate akili zako wewe?
 
Kwa taifa masikini kama letu inambidi rais ajitahidi aagize wizara husika kuharakisha upatikanaji wa chanjo.

Corona ipo na siyo ya kufanyia mbwembwe wala kutafutia umaarufu
Pongezi kwako Kiongozi wangu Mbowe. Gazeti zote ulaya wiki hii yote zimeandika kua, Corona imejijenga na sasa mpaka watoto wataumwa Covid-19 na itawatesa

Corona ipo na inatesa na kuua, anaetaka kumfuta Mtupoli kaburini afanye tu mzaha.
Tunaomba sana Samia aachane kusikiliza MaCCM ni waovyo sana, aongoze mapambano dhidi ya Corona.
 
Back
Top Bottom