Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Comment bora kabisaKama ulikua unamuona kichwa kabla, sasa kapata chanjo bas sio mbaya unaweza muona hata mguu. Dormant thinking!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment bora kabisaKama ulikua unamuona kichwa kabla, sasa kapata chanjo bas sio mbaya unaweza muona hata mguu. Dormant thinking!!
Funga masikioHivi vihuni navyo vinatupigia kelele tu
Piga push up ili tukuone kuwa upo fitSio kila mtu afya yake ni tia maji tia maji.
Wewe ni kiazi. Mtoto ana akili kuliko wewe. Na mbwa ana common sense kukushinda. Stupid wahed.Wale bavicha wanaomtetea mwenyekiti waje kumuuliza kama anawajali sana kwanini hajawapeleka wote Dubai kupata chanjo,
Mara zote huwa tunasema hapa hao ikaja siku amani imepotea wataondoka na familia zao wawaacheni mkiusikia mziki wake.
Nchi sio ya mama yako hii. Kila mtu apige kelele awezavyo ili mradi hajavunja katiba.Hivi vihuni navyo vinatupigia kelele tu
Hahaa. Haya bhana..Piga push up ili tukuone kuwa upo fit
Hiyo tabia mliianzisha nyinyi ya kupandikiza chuki na sasa zimekwisha ota na kutoa maua.Zipo nyingi sana hizo fake accounts za kumchafua chuma JPM...
Zimeundwa mahususi ili ku-shape fikra za watu na kujenga chuki.
Baada ya chanjo!Polepole anaanza lini ziara za kukiimarisha chama?
Mbowe ni Debe tupu!Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara
Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea
Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
Mungu amekataa kivip wakati kampeleka mwenyewe kwenye NYUMBA YA KUDUMU!Hata jiwe mlimuandalia mazingira ya kudumu lkn mungu akakataa
Music!Hivi Mbowe ni mtu wa taaluma gani? Alisomea nini ambacho akizungumza nawezashika kalamu na karatasi?
Mkuu Hii ID Yako ndo umekuwa ukiitumia toka 2018 ulipojiunga?
Mbona watu wanaongelea sana Oxford AstraZeneca vaccine kuganda damu lakini hawaogopi kupanda ndege damu inaweza kuganda kwa sababu ina riski sawa?!
Hivi Mbowe ni mtu wa taaluma gani? Alisomea nini ambacho akizungumza nawezashika kalamu na karatasi?
mbowe anafanya biashara kimataifa angefanyeje unafikiri anafanya biashara ya machame - kariakooHapo mwamba sijamkubali
Khaaaaaa wewee dah kumbe alikuwa anatuzuga hataki chanjo ya beberuz wakati kumbe alishadungwa