Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Wale bavicha wanaomtetea mwenyekiti waje kumuuliza kama anawajali sana kwanini hajawapeleka wote Dubai kupata chanjo,

Mara zote huwa tunasema hapa hao ikaja siku amani imepotea wataondoka na familia zao wawaacheni mkiusikia mziki wake.
Wewe ni kiazi. Mtoto ana akili kuliko wewe. Na mbwa ana common sense kukushinda. Stupid wahed.
 
Ngoja nitafute takwimu kwanza zinazoonesha malaria imesababisha vifo vingapi ktk nchi yetu mpaka sasa( kwa mwaka huu), vivyo hivyo kwa COVID then nihitimishe ni ugonjwa upi ambao ungetutia hofu zaidi kama atakavyo yeye.
 
Zipo nyingi sana hizo fake accounts za kumchafua chuma JPM...

Zimeundwa mahususi ili ku-shape fikra za watu na kujenga chuki.
Hiyo tabia mliianzisha nyinyi ya kupandikiza chuki na sasa zimekwisha ota na kutoa maua.

Tulieni muanze kuvuna mlichokipanda ili mfaidi jasho lenu.
 
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara

Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea

Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
Mbowe ni Debe tupu!
 
Hivi Mbowe ni mtu wa taaluma gani? Alisomea nini ambacho akizungumza nawezashika kalamu na karatasi?
 
Kwamba anachoongeaga ni pumba? Au hua humuelew kwa kuutia ugumu moyo wako tu. Kama vp mpotezee tu maana ukianza kumjadili bas unamkubali kiaina!
Hivi Mbowe ni mtu wa taaluma gani? Alisomea nini ambacho akizungumza nawezashika kalamu na karatasi?
 
Back
Top Bottom