Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Mbowe: Nimepata chanjo ya AstraZeneca, Serikali iharakishe kuchukua hatua za kuikabili COVID19

Kama ameshanunuliwa zaidi na kuingia nao ubia aje piga hela huku mwambieni kamanda hatutaki ujinga...akapige yeye tena...
 
Alafu kuna watu kikikundi cha watu wamefungua akaunti feki kila mtu zaidi 30. Wanamchafua "Immortal African Legend of Hero filidi masho DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI. Tunawaona waache mara moja, na wasipo tubu watakufa kifo kibaya saizi. John(Yohana) alikuwa rais wa JMT. Pia alikuwa nabii na mtumishi wa Mungu alimutaja Mungu ,Kuliko rais yeyote dunia.
 
Shea gani kapewa? Yaani nyie mitoto ya wanawake wasimbe mna tabu kubwa sana
Nasema hivi kama alienda kuingia nao makubaliano ma kipewa shea yake sasa kaagizwa aje hubiri huku basi imekula kwake, hiyo hela aliyopewa atairudishabkwa njia nyingine. Upuuzi hatutaki...
 
Back
Top Bottom