Kuumwa ni sehemu ya mapito ya binadamu, hata wewe unaweza kuumwa na kupotea muda wowote. Rejea alipo Mwenyekiti wenu aliyekuwa na ulinzi wa vifaru na helkopta. Punguza maneno ya nyodo!!Au hii chanjo ndiyo ilipelekea akaumwa sana mpaka kupotea kwa kipindi fulani, usikute damu ya mwenyekiti wetu iliganda.
Kumbe wamelegezaHapana chief..Sheria ya humu ni kwamba kila baada ya cku 90 unaruhusiwa kubadili ID.
Chanjo alizo dungwa Mbowe zina walakini sana kwa kuwa hazikuwahi kufanyiwa majaribio ya muda mrefu,zinakimbizwa sokoni kwa lengo la kupiga hela ndefu sio kujali watu - ni suala ka muda tu wale wote walio jingiza kichwa kichwa wakadungwa chanjo za zinazo tengenezwa kwa kutumia teknolojia ya kijinetikAmeshapewa shea yake ya pesa huko nje sasa kaja kuishikia bango hiyo chanjo...
Baada ya kupata ikawaje?
Jomba,ukichanja kuku mwenye kideri,ile chanjo humuondoa
Ulitaka imuhusu aliyekuzaa? Acha ujingaSasa sisi inathusu nini wewe makengeza ?
Kafanya vyema kudungwa. Itakuwa reference nzuri kwetu na bila shaka kupitia yeye itathibitika kumbe AstraZeneca haina shida kwa waTZ🙂Huyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Kwa taifa masikini kama letu inambidi rais ajitahidi aagize wizara husika kuharakisha upatikanaji wa chanjo.
Corona ipo na siyo ya kufanyia mbwembwe wala kutafutia umaarufu
MwongoHuyu nae kaanza kuyumba namuonaga kichwa lkn kwa hiyo chanjo ha ha ha!
Na bado Kuna ma mbumbumbu yata shabikia huu uongo et wao hawakutaka lockdown!kweli wa Tz tunaonekanaga mazoba sana na wanasiasa uchwara, hv siyo huyo na Genge lake walitika bungeni wakishindikiza lockdown?hv kweli tungekifungiwa tungekuwa wapi kipindi hiki ambapo dunia yote imeamua kufungua raia wake waendelee na maisha yao Kama kawaida?Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa nje ya nchi kibiashara
Aidha amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan aharakishe mchakato wa Uchunguzi dhidi ya Corona ili hatua stahii zichukuliwe mapema na kuepusha vifo vinavyoweza kutokea
Amesema awali wao walitaka nchi ichukue hatua stahiki sio kwa maana ya kuifungia nchi bali kuwa na vituo vya kupima watu, kuwa na ventilators za kutosha na vifaa kwa wahudumu wa afya ili kukabiliana na ugonjwa
Kwamba yule kuku alikua na kideriJomba,ukichanja kuku mwenye kideri,ile chanjo humuondoa