Mbowe: Nimetoka Gerezani kwa moyo mweupe. Katiba ni ajenda yetu, Sisi sio magaidi

Taarifa hii imefikia siro, kingai mahita jumanne gudlack pale unapombambika mtu kesi then anashinda sijui aibu wanaweka wapi
 
halafu unaiogopa katiba mpya. Uzuzu Ni ugonjwa aisee
 
halafu kumbuka huyo Mbowe sio maskini kama alivyo baba yako
 
Ana hela gani mbona anauuza magari mabovu Chadema
 
Msamaha ni Uponyaji.

Mwamba sio Gaidi
 
Ana hela gani mbona anauuza magari mabovu Chadema

Dharau zenu hizi kisa CCM zinawafanya mjione mko juu kuliko kila mtu. Wewe unamjua Mbowe leo?. Mwaka 1999 Mbowe alikuwa mmoja wa wadhamini wa shindano la miss Tanzania.
 
Yani ccm hapo wanatamani kufa , maana walisema hatazungumzia katiba mpya na amepishana na makamu wake mambo yamekuja tofauti,
walisema amepingana na makamu wake kuhusu join the chain naona napo wamefeli wanateleza tu wakitafuta pa kushika.
Ndio maana huwa hawamtaki mbowe awe mwenyekiti wa chadema kumbe wanaelewa moto wake.
na bado maji mtaita mma ngoja katiba ije mtajua hamjui nyoo
 
nawaahidi chadema hamtaishinda ccm milele ila mtaishinda kwenye tweeter na mitandaoni hapo nawasifu mnajua matusi na hasa mkiisha kunywa mbege mnafungua mitandao na kuanza kutukana tu hongreni sana nyumbu mmeshinda
 
nawaahidi chadema hamtaishinda ccm milele ila mtaishinda kwenye tweeter na mitandaoni hapo nawasifu mnajua matusi na hasa mkiisha kunywa mbege mnafungua mitandai kutukana tu hongreni
Kweli kabisa kwa matusi hawawezekani,
Kuna mmoja humu kanitukania mama yangu aliyeko kaburini kisa tu mbowe gaidi
Ajaaaabu kweli kweli,
Namuheshimu mama aliyemzaa siwezi kumtukana na pia nimemsamehe
 
Wewe unaamini uchaguzi ulikuwa huru na Haki?. Yani siku ya uchaguzi mpaka siku ya kutangaza matokeo mtandao wa internet ulifungwa kwaajili gani Kama sio wizi?.
Ni mpumbavu tu na mtu asiye na akili aneyeweza kuamini kuwa ule ulikuwa uchaguzi
 
Kweli kabisa kwa matusi hawawezekani,
Kuna mmoja humu kanitukania mama yangu aliyeko kaburini kisa tu mbowe gaidi
Ajaaaabu kweli kweli,
Namuheshimu mama aliyemzaa siwezi kumtukana na pia nimemsamehe

hao ni nyumbu waache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…