FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unafahamu kuwa kati ya wagombea Urais Tanzania, mgombea aliyebwagwa Kwa kura nyingi zaidi alikuwa Mbowe alipogombea?Mbowe ndiye Rais wa Ukweli wengine makapi
Unajuwa alibwagwa na Kikwete kwa asilimia ngapi?
Mbowe ana rekodi ya Tanzania kwa kuwa ni mgombea aliyepata kura kidogo zaidi, haitavunjwa hiyo.