Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Kwa viongozi makini wanao jali afya na uhai wa watu wao posho ni hoja dhaifu sana kulinganisha na uhai
Hakuna kikao kilichokaa kufanya uamuzi wa kususa bunge. Kila mwezi wabunge tunatoa milioni kwenye chama. Leo hii anapiga marufuku kushiriki vikao,hizo posho tutazipataje? Akumbuke tuna familia

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wacheni kuwachimbia watu kaburi kwa kuidharau corona, dunia itakuja kuwahukumu
Ukisikia usaliti ndiyo huo. Unayaona maisha yako ni ya thamani kubwa, ya wenzako hayana thamani, hata yakitoweka ni sawa. Na bado kuna wendazaimu wanaona ni sawa, na wanashabikia.

Kwa nini usiwashauri watu wachukue tahadhri kubwa kama unavyofanya wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wewe tulisha kwambia kuwa habari na mambo ya Tanzania tuwachie sisi wananchi maana wewe kwenu ni rwanda
Mbowe alipata daraja la mwisho kabisa kwenye Elimu ya TZ yaani division 0, hivyo Mbowe ana low IQ kwa mujibu wa matokeo yake, ni ajabu mmefanya kuwa Kiongozi wenu, Mbowe hana uwezo wa kutuma maombi ya kazi popote na kujibiwa kwani IQ haitoshi, ameweza tu kuwa Kiongozi wa chadema shauri ya Upendeleo kwamba kaoa Mtoto wa Mtei ambaye ni Mwanzilishi wa chadema, hivyo kawekwa hapo kwa nguvu lakini siyo kwa merit, ...

In God we Trust
 
Mbowe kweli anazeeka vibaya,

Kwa siku za hivi karibuni amekua akitoa hotuba utafikiri ni mtu mwenye instruments za kumuwezesha kutekeleza anachokisema, yaani kwa ufupi amejipa mamlaka ambayo hana.
Corona ikizidi sana inakuwa stroke

In God we Trust
 
“[Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.” Amesema Freeman Mbowe.

Wakati Rais Magufuli ametoka kuwatoa hofu Mheshimiwa Mbowe siku chache baada ya Kuamurisha wabunge wa CHADEMA wasiingie Bungeni sasa amesema anataka kuongea na taifa.

Ila namshauri Mbowe na genge lake akaye kimya , kwan anaweza kudakwa mda wowote anaongea na Taifa kwa misingi gani? yeye ni Nani hapa Tanzania?? Atulie na familia yake katika hiki kipindi kigumu.

View attachment 1439248
Mbowe asifanye maamuzi peke yake....... Sidhani kama wabunge wa Chadema wana mawazo sawa!
 
Yaani ww ni mbunge usije kuthubutu kuichezea nchi mmeleta dharau toka muda mrefu

Naona mnataka kuvuka msitari mwekundu

Tegemea the same reaction kuja endapo mkiichokoza dola

Kumbuka huu si wakati wa kucheka Cheka

Huu si wakati wa siasa tunataka kumsikikiza mkuu anasemaje

Ww ni mbunge tu na ubunge wako unakoma mwezi juni
Baada ya mwezi juni utakuwa kama Hashimu Rungwe
Tatizo la watu wanaomchafua Rais wanadhani Rais Yuko peke yake...hawajui kuwa nyuma yake kuna millions of people wanaomuunga mkono...
 
Wanasiasa wengi tu nchini wajingawajinga!!! Halafu siasa hata kama ukiwa ni mjinga Sana Ila tu ukiongea kumpinga mwingine unaonekana shujaaa Kwa wajinga mashujaa wa Ujinga

Ni ujingaujinga mwingi Sana vichwani mwa wanaofanya siasa zao Kwa Nia ya watu furani furani wasikie msimamo wao Kwa kuwa nao wanapenda Ujinga huo ukifanyika Africa

Mtu Tu kutoka anakokujua aamuru Tu wenzake wasishiriki Bunge bila kufikir kwamba Kwa kazi hiyohiyo kunawanaoingia Ofsini Hadi leo, Je umefanya utetezi upi kwao?

Kuna Madactari ambao Wapo ktk sintofahamu ya maisha Yao utasemaje wewe uache Bunge Wakati wewe unaeneo la kuchagua ukae Mita ngapi kutoka Kwa mwenzako?

Ni Ujinga mwingi vichwani mwa wanasiasa wengi Sana,
 
Dodoma nasikia kumekucha tena vibaya!
Ok iletwe hiyo list ya wanaodaiwa kufa kwa Corona...sisi wengine hatutaki heresay...nilisikiliza clip moja Mhe. Mbowe anadai mamia ya watu nchini wamekufa kwa Corona...alete hiyo list tuone....
 
Kumbe na wewe ni kibibi cha hovyo! Kwani kati ya Jiwe na Mbowe nani mwenye weledi? acha mtu kutegemea jeshi, vifaru risasi. Waweke kwenye mzani wa uraiani in terms of upstairs!
Dah, unafananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu?

Wewe unafikiri Mbowe isingeikuwa nguvu za mkewe hata siasa angeijuwa? Kuhudumia wateja bar na siasa wapi na wapi?
 
#MWAMBA #PAMBANA #UTUVUSHE.
✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

Magufuli kaenda likizo ya Corona ANAZINGUA tu, mpe za CHEMBE tena mpaka akae. DADEKI.
 
Back
Top Bottom