Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Bado ushamba umekujaaa na washamba wenzakoHata ningeingia leo, huyu muhuni niliyemsema sasa basi. Apishe kiti wakae wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ushamba umekujaaa na washamba wenzakoHata ningeingia leo, huyu muhuni niliyemsema sasa basi. Apishe kiti wakae wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kikao kilichokaa kufanya uamuzi wa kususa bunge. Kila mwezi wabunge tunatoa milioni kwenye chama. Leo hii anapiga marufuku kushiriki vikao,hizo posho tutazipataje? Akumbuke tuna familia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi mambo ya vyama ila acha kutisha watu wewe huna loloteMbowe wewe ni mnafiki na unalijua hilo au nifungue lile file? Utaaibika kaka, hoja za wanaume hazijibiwi kivulana
Ukisikia usaliti ndiyo huo. Unayaona maisha yako ni ya thamani kubwa, ya wenzako hayana thamani, hata yakitoweka ni sawa. Na bado kuna wendazaimu wanaona ni sawa, na wanashabikia.
Kwa nini usiwashauri watu wachukue tahadhri kubwa kama unavyofanya wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaopukutisha watu kwa corona hawahatarishi amani ?
Sijaelewa hapo.Anaongea na Taifa yeye kama nani?
Dodoma nasikia kumekucha tena vibaya!Leta list hapa ya wanaodaiwa kufa kwa corona
Mbowe alipata daraja la mwisho kabisa kwenye Elimu ya TZ yaani division 0, hivyo Mbowe ana low IQ kwa mujibu wa matokeo yake, ni ajabu mmefanya kuwa Kiongozi wenu, Mbowe hana uwezo wa kutuma maombi ya kazi popote na kujibiwa kwani IQ haitoshi, ameweza tu kuwa Kiongozi wa chadema shauri ya Upendeleo kwamba kaoa Mtoto wa Mtei ambaye ni Mwanzilishi wa chadema, hivyo kawekwa hapo kwa nguvu lakini siyo kwa merit, ...
Huyu anafaa kuwaongoza watu kama ww ambao upeo wenu wa kufikiri ni mdogo.Mbowe ndiye Rais wa Ukweli wengine makapi
Corona ikizidi sana inakuwa strokeMbowe kweli anazeeka vibaya,
Kwa siku za hivi karibuni amekua akitoa hotuba utafikiri ni mtu mwenye instruments za kumuwezesha kutekeleza anachokisema, yaani kwa ufupi amejipa mamlaka ambayo hana.
Mbowe asifanye maamuzi peke yake....... Sidhani kama wabunge wa Chadema wana mawazo sawa!“[Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.” Amesema Freeman Mbowe.
Wakati Rais Magufuli ametoka kuwatoa hofu Mheshimiwa Mbowe siku chache baada ya Kuamurisha wabunge wa CHADEMA wasiingie Bungeni sasa amesema anataka kuongea na taifa.
Ila namshauri Mbowe na genge lake akaye kimya , kwan anaweza kudakwa mda wowote anaongea na Taifa kwa misingi gani? yeye ni Nani hapa Tanzania?? Atulie na familia yake katika hiki kipindi kigumu.
View attachment 1439248
Tatizo la watu wanaomchafua Rais wanadhani Rais Yuko peke yake...hawajui kuwa nyuma yake kuna millions of people wanaomuunga mkono...Yaani ww ni mbunge usije kuthubutu kuichezea nchi mmeleta dharau toka muda mrefu
Naona mnataka kuvuka msitari mwekundu
Tegemea the same reaction kuja endapo mkiichokoza dola
Kumbuka huu si wakati wa kucheka Cheka
Huu si wakati wa siasa tunataka kumsikikiza mkuu anasemaje
Ww ni mbunge tu na ubunge wako unakoma mwezi juni
Baada ya mwezi juni utakuwa kama Hashimu Rungwe
Ok iletwe hiyo list ya wanaodaiwa kufa kwa Corona...sisi wengine hatutaki heresay...nilisikiliza clip moja Mhe. Mbowe anadai mamia ya watu nchini wamekufa kwa Corona...alete hiyo list tuone....Dodoma nasikia kumekucha tena vibaya!
Dah, unafananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu?Kumbe na wewe ni kibibi cha hovyo! Kwani kati ya Jiwe na Mbowe nani mwenye weledi? acha mtu kutegemea jeshi, vifaru risasi. Waweke kwenye mzani wa uraiani in terms of upstairs!
Hata ningeingia leo, huyu muhuni niliyemsema sasa basi. Apishe kiti wakae wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye kama KUB au hujui maana ya sifa ya KUB?
In God we Trust