Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

Wewe ndiye mnafiki na mkabila mkubwa na adui no 1 wa watanzania.

Kumbukeni kuwa hii ni dunia ya kidigitali mnayo yafanya leo hii kesho yata wahukumu
Mbowe wewe ni mnafiki na unalijua hilo au nifungue lile file? Utaaibika kaka, hoja za wanaume hazijibiwi kivulana

In God we Trust
 
Niliwahi kusema lkn watu hawakunielewa juu ya hili jambo
Chezeya njaa kuanxzia 2015 mwishoni ulijidai kususa Lumumba eti kuna wagalatia, njaa ilipozidi ukajisalimisha kwenye praise and worship team

In God we Trust
 
Na nyinyi mataga wacheni kumchezea Mh Mbowe
Hivi mbowe anatafuta nini,ameongea majuzi,akadai wanaweza kumkamata,lakini hakuna aliyehangaika naye. Sasa amekuja na gia nyingine,anataka ligi na Magu,haaahaa,... Mbowe acha kumchezea Rais,huyo siyo Dr Slaa.

In God we Trust
 
Naona umeingia jana jijini dsm na Nyahunge Express
Mwez 11 tutakua na KUB mpya bungeni, mwenye constructive criticism, maono, busara na mpenda maendeleo. Sio huyu wa sasa yeye kwake ni pesa na ndogo ndogo. Udikteta kwenda mbele, vitu vingine anaamua sebuleni na mke wake ndo vinakua msimamo wa chama

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wanao potosha juu ya corona wajiandae kushitakiwa na mahakama za kidunia maana ni sawa na mauwaji
Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe tunasubiri neno toka kwako baada ya Spika Job Ndugai wa Bunge la Tanzania na Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli wote kutoa maoni yao yaliyozua maswali mengi kwa waTanzania kuhusu taifa na kimataifa (vipimo vya coronavirus).

In God we Trust
 
Mshamba ni wewe na babako na ukoo wenu wa panya
Mbowe ni mshamba asiyejua kuwa tuko vitani anataka kurudisha majeshi nyuma eeh?

Mbowe ameongea Mara ya kwanza akaachwa akafikiri kuwa ameshinda eeh?

Mnaomshauri mwambieni asithubutu kuleta za kuleta ama zake!

Tunatakiwa kuusikiliza mfumo tu na dola tu kwa ss na si vinginevyo

Wakati wa vita ni huu hajui kwamba Rais ametangaza state of emergency isiyotia hofu wananchi?

Mbowe ukiwa na mawazo mpigie simu Rais tunatakiwa kusikia sauti moja tu kwa ss ya Amri jeshi mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama

Mbowe wala usithubutu kabisa kuleta upumbavu wako

In God we Trust
 
Wasalimie sana kwenu koromomije
Yaani ww ni mbunge usije kuthubutu kuichezea nchi mmeleta dharau toka muda mrefu

Naona mnataka kuvuka msitari mwekundu

Tegemea the same reaction kuja endapo mkiichokoza dola

Kumbuka huu si wakati wa kucheka Cheka

Huu si wakati wa siasa tunataka kumsikikiza mkuu anasemaje

Ww ni mbunge tu na ubunge wako unakoma mwezi juni
Baada ya mwezi juni utakuwa kama Hashimu Rungwe

In God we Trust
 
Kwani wapi mh Mbowe kasema kuwa yeye ni rais?

Mbona unawashwa sana? Wewe kama hutaki kumsikiliza funga domo waache wanao hitaji wamsikikize
Sio tu kumtisha asithubutu kabisaa na atatishika awamu hii yaani tuna Rais mmoja tu nchi hii na si vinginevyo kwa ss atatishika yy ni mbunge wa jimbo la Hai tu labda anajisahau sn hajui mipaka yake

In God we Trust
 
Back
Top Bottom