Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kwani ni kosa mtu especially kiongozi wa Upinzani kuongea na Waandishi wa Habari ?
Au hilo neno Taifa ndiyo lenye kuleta nongwa?
Mbona tangu kuanzishwa kwa vyama vingi imekuwa ikifanyika hivyo?
Je Katiba inasemaje kuhusu Uhuru wa watu kukusanyika na kujadili jambo au mambo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Au hilo neno Taifa ndiyo lenye kuleta nongwa?
Mbona tangu kuanzishwa kwa vyama vingi imekuwa ikifanyika hivyo?
Je Katiba inasemaje kuhusu Uhuru wa watu kukusanyika na kujadili jambo au mambo ?
Sent using Jamii Forums mobile app