Mbowe: Ole Sabaya akiwa na gari lenye namba UN na silaha za moto aliongoza genge la wahalifu kwa lengo la kunidhuru na kuniua

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd.

Pia soma >Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa


Your browser is not able to display this video.




UN WALIKANA GARI
 
Ole Sabaya ukimuangalia tu usoni huitaji kuuliza roho yake ikoje.
 
Tumechokaaaaaaa tumechoka aa niko radhi kufa Nimesimama kuliko kufanimepiga magoti. Black colonialist UNAKERA. Am coming after you. Believe me am coming after you you have got no where to hide or run. Am gonna fix you up with my own bare hands.

Tumechoka
 
Ole Sabaya ukimuangalia tu usoni huitaji kuuliza roho yake ikoje.
Hivi huyu ni superhuman, au?

Maana for years now inaonekana anaweza kufanya uhalifu wowote kwa utashi wake na huwa anasikika akitamba kwa uhalifu huo lakini wahanga wake badala ya ku hit back naona wanalalama tu. Je, yeye ni superhuman na anaogopesha sana?
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ We Mbowe utauliwa na Faru John tu hawawezi hangaika na wewe kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…