mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd.
Pia soma >Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa
UN WALIKANA GARI
Pia soma >Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa
UN WALIKANA GARI