Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Tatizo sio RAIA kuwa na nani Bali ni kuwa wako sahihi na wanakoelekezwa? Rais anasema ugonjwa unaisha, lakini madereva wetu kwa idadi kubwa wakifika mipakani wanagundulika wagonjwa kwa nini?
Na hao wote wanatoka kwenye jamii huku mitaani ambako hatupimwi!
US embassy wameonya RAIA wao kuwa hali ya Dar inatisha, nchi jirani wanafunga mipaka bado hatuamini, lakini tunamuamini Magufuli tokea huko mafichoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe mbona hatupi takwimu za Corona za ukoo wake wa Mbowe za idadi ya waliopimwa,waliougua,waliopona, waliofariki na rate ya maambukizi imepungua au imeongezeka kwa kiasi gani ? Hizo hazihitaji serikali ni yeye tu kuzitoa
Tunaziomba ili tuone jinsi hili janga lilivyo kubwa kwenye ukoo wake

Ukoo wake unaficha? mbona hatupi hizo takwimu hata siku moja tunaomba awe anatupa takwimu za kila siku
 
Trend imetokea wapi?? Usiulize..trend ipi wakati VIPIMIO VYA VIPIMO VINAPIMWA??

Nilichogundua ukiwa Mr Politishiani, unakuwa pathological liar...

Everyday is Saturday........................ 😎
Ajabu tukipimwa mipakani maambuzi tele kwa madereva wetu sasa badala ya kupima mapapai na mbuzi na mafenesi kwa nini tusiangalie usalama wa madereva wetu na kuwapima tuna viongozi sio kabisa
 
Mbowe analialia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hana lolote kasikia mabeberu wanaongelea kufungua na yeye anataka kufungua wakati hata mashine mbovu inayopima mapapai positive hajaibadirisha intubators hana na hata mpango mkakati w kitaifa wa kupambana na janga hana
wewe mkorofi kwani ni nani asiekujua.
lawama zoote unampa rais wakati yeye ajaleta corona.kaka kwani vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Hivi unafikiri Ripoti hiyo utaisoma muda huo huo Rais anapoisoma? Rais anapata taarifa mapema sana hivyo kuhoji Ripoti imetoka au laah ni kukosa maarifa kwenyewe.

Je, uliambiwa upimaji usingefanyika kipindi wanafanya huo uchunguzi?
Ndicho ttulichooambiwa!
 
huyo mbowe ni punguani tu, anasema watu wanakufa mbona mwanae kapona au yeye alitibiwa america
 
Kwani suala hili halikugusi ndugu kwa haya yanayoendelea.

Uliwahi kumuona waizir mkuu wa italia akilia hadharani huu ugpnjwa ni hatari siasa haipaswi kuwekwa mbele bali fact,truth na Science
Ni hatari kweli ila kwa aliyoyasema Rais wetu leo, basi huu ugonjwa unaelekea kudhibitiwa hivyo ondoa hofu.
 
Mimi sio CCM lakini kwa maono yangu huyu Mbowe naona kama anawapoteza watu jamani.
Yaani Kiongozi mkuu wa Nchi, Rais aliyeaminiwa na kupewa mamalaka na wananchi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania anazungumza tena kwa kutumia fact bila kupepesa macho akijaribu kuelezea hali halisi ilivyo katika kujaribu kuwatuliza wananchi na kuleta matumaini.

Mbowe anajitokeza kudai kwamba nchi inaenda kuangamia kwa sababu ya Corona huku kiking'ang'ania Lockdown kwa sababu chenyewe kina uhakika wa kula na kwenda chooni.
Kwani hujatosheka ulivyokaa karantini?

Nchi hii ina wanasiasa Uchwara wenye njaa tu ya madaraka wanaopigia debe matumbo yao kwa kivuli cha kujifanya wanapigania haki za wananchi, hao wananchi unaowapigania hujui maisha yao? unavyong'ang'ania Lockdown lengo lako ni nn? Tufe na njaa ama?... Kuna wanasiasa visambugile kweli 😁.
 
Kuna watu utafikiri wanakula maiti!
 
Kwani suala hili halikugusi ndugu kwa haya yanayoendelea.

Uliwahi kumuona waizir mkuu wa italia akilia hadharani huu ugpnjwa ni hatari siasa haipaswi kuwekwa mbele bali fact,truth na Science
Waziri mkuu wa italia hajawahi kulia hadharani. Ile ni fake news tu. Yaan taifa la watu milioni 60 na ushee, wafe watu 40000 halafu waziri mkuu alie hadharani, hiyo inakuingia akilinj kweli?

Tena kipindi hicho wanatoa uzushi huo wagonjwa walikuwa hawajafika hata laki moja italia.
 
Hao ni wazee wa kumlaumu,

Siku Mbowe anavaa gloves sijui alisomea wapi udaktari
 
Mkuu kwa hiyo unadhani Magu anaficha data za vifo vya mapapai na mafenesi si ndiyo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…