Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Kwa hio siku hizi mnawapangia na vyama vingine vya kisiasa ipi iwe agenda na ipi isiwe agenda sio?
 
Mama Mgwira anasema kuna majani aliyatumia sasa hivi akipima anaonekana ni Negative, nadhani haya ni maajabu mengine makuu yanayopatikana awamu hii.
 
Ukweli corona inakuzwa mno kwenye media kuliko uhalisia. Naona wapinzani wanaichukulia kama ajenda ya kisiasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa October, ila ni suala la muda tu majibu watayapata
Hebu jaribu kuwafikiria Italy au USA, halafu uje useme hapa kuwa vyombo vya habari ndivyo vinavyokuza kuliko uhalisia.

Ungeeleweka vizuri kama ungeeleza sababu zinazofanya sisi (Afrika) isituathiri sana kama inavyofanya kwenye hizo nchi zingine, lakini badala yake kama kawaida yetu, unaleta ngojera zile zile tulizozizoea!
Haziongezi thamani yoyote kwenye mchango juu ya mada hii.
 
Mbowe ni mwongo, sijawahi kumwamini hata siku moja. Anatafuta public sympathy baada ya kuharibu kwa kuwafukuza wabunge wake kwenye chama, akashambuliwa na jamii!


Jamii gani iliyomshambulia?

KUPIGA DEBE NAYO NI KAZI.
 
Mama Mgwira anasema kuna majani aliyatumia sasa hivi akipima anaonekana ni Negative, nadhani haya ni maajabu mengine makuu yanayopatikana awamu hii.


Ametumia VIPIMO GANI kutambua kuwa AMEPONA?

WAZIRI UMMY, UCHUNGUZI WA VIPIMIO UMEKAMILIKA?
 
kwani umezuiwa kuishi mkuu? fanya mambo yako achana na korona haitakusaidia lolote..
Pole kwa kukutana na hawa watu wasiojali uhai wa watu. Corona imeonesha jinsi watanzania wengi walivyo na fikra za kienyeji kuanzia mkuu hadi hawa wafia-jiwe. Tunapaswa kuweka uhai mbele na sio ushabiki wa kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusichoke tuwaombe waliokaribu waendelee kumpa ushauri, na Wale wenye mawasiliano nae wampe nasaha kwa siri na kwa busara huenda tukachukua mkondo wanaochukua wenzetu na dunia nzima

Nadhani bila kubeza, hasa mheshimiwa Mbatia na zile SMS zake. Nani ajuaye zaweza mgutua mzee baba na kutuokoa.
 
Wewe mwenzetu endelea na hofu yako
 

Mkuu unasomeka vilivyo. Kuangamia ni wazi Ila cha kufahamu ni kuwa hakuna shule, chuo wala ligi inayokwenda kufunguliwa karibuni. Hiyo ni janja ya nyani tu kutupatia kitu cha kuongelea.

Kufungua shule na ligi hakuna tofauti na habari ya uchaguzi mkuu kuwepo. Umemsikia akiuongelea tena uchaguzi mkuu?

Kipimo cha ugonjwa si kwa kuangalia wagonjwa wangapi serikali inaamua kuwashikilia mahospitalini kwa nia ya kuonyesha ugonjwa hamna.

Ugonjwa umepungua kwa jitihada ipi kwa kupiga nyungu? Hao madereva wanaopatikana mipakani na Corona wanasingiziwa?
 
Utaangamia were na familiar yako.
 
Hivi wakuu report huwa zinawasaidiaga nini?
maana mi nnachojua ugonjwa upo tujikinge kwa nguvu zote.
mkuu unaroga mchana mchana aisee labda uangamie na kizazi chako , sisi tutapambana na Mungu atatupigania
 
Lakini madai ya huyu mtu yana mantiki, ikiwa maambukizi yanapungua ni kwa kipimo kipi maana hivi vina shaka na viko katika uchunguzi na report bado haijatoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu samahani utanisamehe kwa mfano huu.
Huyo Bia yetu ni kama kahaba anayetoa miguno ya raha kumbe hisia zake zilishakufa siku nyingi ila hapo anakimbizia mshiko tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Kabisa! Kuna siku niliamua kumfuatilia nilishangaa! Kati ya masaa 24 aliondoka JF kwa muda wa only three hours. Alipanda ngazi kutoka kuwa Member hadi kuwa JF expert member kwa muda wa siku mbili tu.
 
Jamii masikini huwa ina visasi sn Mbowe anatoka sehemu ya watu wa vipato vya kati hawana visasi lakini Ndugai anatoka kwa wagogo omba omba(fukara) wana visasi balaa, sijawahi kuona mgogo tajiri hapa Tanzania.
 
Watetezitv
15 hrs ·
"Silaha ya kwanza ya kupambana na corona ni kutoa Takwimu, bila hivyo itakuwa ni kazi bure. Nikisema takwimu ni idadi ya watu waliopima, waliokutwa na maambukizi, waliopona na waliokufa kutokana na ugonjwa huo" Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…