Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Milioni 12 si posho yake ya wiki 2 bungeni tu hiyo? ALikaa India miezi mi5 kwa mujibu wa CAG posho to alilamba 500m na ukijumlisha gharama za matibabu,gharama za kutunza familia yake huko india na pia gharama za kulipia floor aliyokuwa amelazwa ikiwa na ofisi yake ndio inafika 12bilions kwa miezi mi5.Mkuu 12Bln ama ulitaka kuandika 12Mln?
Hizo zitakuwa Bill za nchi gani,labda kama alihamishwa sayari.
Sent using iphone pro max
Hivi Mbowe hana washauri wamshauri kwamba hili la corona raia wamesimama na rais Magu?
Au nyie chadema mambo yenu mnafanyia utafiti wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mawili: 1) Anapewa taarifa feki 2) Anapewa taarifa halisi ila anasema anachojua!Tatizo ni uhaba wa taarifa, na tatizo kubwa zaidi ni dhana tunazo zijenga kutokana na taarifa haba.
Wakizinduka itakua too late!Jiongezeni
Wanasiasa sio watu wakuwaamini
Nyie vaeni barakoa Nawa mikono kwa maji tiririka
Wanasiasa sio Rafiki zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Magu kaanzisha nini ambacho nchi nyingine zitafuata? Tangu janga hili lianze TZ maisha yanaendelea kama kawaida.hawaruhusu kama unavyofikiria wewe kuna utaratibu maalum utakao zingatiwa wa kitaalam utakaofatwa.
corona haishi leo wala kesho ni lazima maisha yaendelee huku kukiwa na tahadhari kubwa.
magufuli anaanzisha ila hamini nakwambia kuna nchi nyingi tu zita fuata,
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ya mshikaji inawaza madaraka tu na Wala si uhai wa watu
Huwezi kusema corona haitakusaidia jaribu kuwa na akili kidogo usiishi kama mshenzi asiyejali kitu.kwani umezuiwa kuishi mkuu? fanya mambo yako achana na korona haitakusaidia lolote..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe shetani kufaa mwenyewe tuache na Tanzania yetuNimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Ruhi,naomba ujadili mada badala ya mimi mtoa madaKwa akili ya mtoa mada unadhani wanaotoa takwimu wanajifurahisha na ambao hawatoi takwimu kama sisi Tanzania ndiyo tunatibu?
Mkuu kwenye hilo neno "tuko" na Mimi umenijumuisha au ni wewe na familia yako tu?Shida kuhusu Nini au wewe una shida..Kama unashida na mmeo hizo ni private issues..lakini Kama ni suala la kitaifa, tuko sambamba na nyuma ya mhe Rais..kamanda Mkuu wa majeshi tunasonga mbele..tuko vitani. Njoo na hoja zako Kama za kitaifa mwaka 2026
Hao wenzetu probably wanaelewa anachokifanya ,acha tusubirie tuone.Ila mie kwa huyu mtu akili yangu imegomaKama alifuga wasiojulikana nadhani litakuwa linaona limepata cheap labour aitwaye kovid 19
Haitanishangaza, kwani kule Uganda Waumini wa Kibwetele walisimama na Kibwetele, lakini baadaye vyombo vya habari viliripoti kuwa Kibwetele si miungoni mwa wahanga wa moto uliowachoma wafuasi wa Kibwetele.Wenzio walianza kusema hivyo toka mwezi wa tatu wewe ndio unazinduka leo?
Alafu hivi hamna washauri wa kuwashauri kwamba hii ishu ya corona raia wamesimama na rais Magufuli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza UD 2006...msipenda kutukana Baba zenu humu basi...Ndugu yangu mimi nimesoma ud nimemaliza 2006 lecture theatre hua tunajaa kuliko darsa la form one. Nakumbuka wakati mwengine ukichelewa ht kuingia huez.
Pili katika hostel zero distancing is equal to zero. Jamani tuwe na utu na tufikirie wengine pia
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.
Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.
nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.
tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?
Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?
na wakaanza kupima tena lini?
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
salaam.
Kwa nn isiwezekane wakati sisi hakuna la maana serikali imefanya kulinda raia wake dhidi ya corona... mask watu wanavaa vitambaa mpk lesso na kanga, serikali ilipaswa kuhakikisha upatikanaji wa standard masks.. makanisani na misikitini watu wanajazana kama kawaida, serikalini ilipaswa kuyafunga haya, hakuna kikubwa serikali imefanya kuzuia mikusanyiko kwa hiyo hata michezoni itakuwa bussines as usual usije staajabuWe umeelewa kuwa wataruhusu tu wanafunzi na michezo kwa pupa!!! Yawezekana wakaanza na wale wa juu wa chuo,hawa madogo wakasubiri kwanza...Michezo pia yaweza chezwa bila spectators kama walivyofanya Bundesliga. ..Mtu msomi kufikiria kuwa kufungulia michezo kipindi hiki basi tutaona mashabiki wamejaa uwanjani ni......* ...basi ngoja nikuache tu.
Huenda ni kweli aliugua maana kuna watu wakisema humu kuwa kikombe Cha Babu part two kutoka Madagascar kilikuwa maalum kwa yeye kule Chato.Halafu anazuga eti mwanae aliugua na kapona kwa malimau na tangawizi.....jamaa ni mnafiki balaaa !
Sent using Jamii Forums mobile app