Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Milioni 12 si posho yake ya wiki 2 bungeni tu hiyo? ALikaa India miezi mi5 kwa mujibu wa CAG posho to alilamba 500m na ukijumlisha gharama za matibabu,gharama za kutunza familia yake huko india na pia gharama za kulipia floor aliyokuwa amelazwa ikiwa na ofisi yake ndio inafika 12bilions kwa miezi mi5.Mkuu 12Bln ama ulitaka kuandika 12Mln?
Hizo zitakuwa Bill za nchi gani,labda kama alihamishwa sayari.
Sent using iphone pro max