Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Hivi unafikiri Ripoti hiyo utaisoma muda huo huo Rais anapoisoma? Rais anapata taarifa mapema sana hivyo kuhoji Ripoti imetoka au laah ni kukosa maarifa kwenyewe.

Je, uliambiwa upimaji usingefanyika kipindi wanafanya huo uchunguzi?
Walitumia vipimo vipi wakati hivyo vilivyokuwepo ni fake ?

Au walikuwa wanapima kwa kupiga ramli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hajavaa barakoa anavaa gloves nyeusi
==============
Atueleze hiyo njia inapambana na covid19 kiaje sababu huko kwa wenzetu mabingwa wa kufanya hivyo hali si hali.
 
Kutoa takwimu? Ni silaha? Binafsi sioni kama hiyo ni silaha, tena iwe ya kwanza. Pengine watu kuwa aware juu ya huu ugonjwa kulitakiwa kupewa kipaumbele kuliko takwimu.

Watu kuwa aware kulitakiwa kuwe ni ubwabwa na maharage halafu takwimu ziwe ni kachumbari ya huo ubwabwa na maharage.
 
Unanikumbusha story moja mbuni alikuwa anafukuzwa na simba akaona option ya kusurvve ni kufikia kichwa chini ya mchanga akiamini amejificha kumbe body yote ipo exposed unajua nini kilitokea?
Simba akampita......
 
Amini akuna utaratibu wala ushauri wa wataalam, kwa kuwa tumeamua kumshangilia nae ndio anatekeleza tu, tuendelee tu kumshangilia atakapo tufikisha tusiulizane!
 
Mheshimiwa ameshaongea Jana kwamba Tume ya kuchunguza iliundwa na waziri wa afya na majibu wameyapata kwahiyo atatangaza yeye Mwenyew waziri Mwenye dhamana.
Ila natabiri majibu yatakuja kwamba tatizo ilikuwa wataalamu hasa Yule aliyetumbuliwa ili kujustify takwimu zilizopo na zilizosemwa Jana na mheshimiwa Rais kwamba Ni sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hupendi taarifa mbaya ila hali ndvyo inavyoeda kuwa
 
Hamini[emoji808]
Amini[emoji818]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini akuna utaratibu wala ushauri wa wataalam, kwa kuwa tumeamua kumshangilia nae ndio anatekeleza tu, tuendelee tu kumshangilia atakapo tufikisha tusiulizane!
itakavyokuwa ndo hivyo hivyo mtakao kufa mfe na tutakao pona tupone lakini maisha lazima yaendelee.
hii ni vita tumevamiwa na adui corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kumbe leo amejua unafiki na uzandiki si mzur katika taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…