Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah....basi Kama hujui...Kuna nyumba za kupanga zina misongamano zaidi ya hiyo.....toka Masaki braza...tembetembea uswazi ujifunze[emoji2960]Ndugu yangu mimi nimesoma ud nimemaliza 2006 lecture theatre hua tunajaa kuliko darsa la form one. Nakumbuka wakati mwengine ukichelewa ht kuingia huez.
Pili katika hostel zero distancing is equal to zero. Jamani tuwe na utu na tufikirie wengine pia
Sent using Beretta ARX 160