Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Ndugu yangu mimi nimesoma ud nimemaliza 2006 lecture theatre hua tunajaa kuliko darsa la form one. Nakumbuka wakati mwengine ukichelewa ht kuingia huez.

Pili katika hostel zero distancing is equal to zero. Jamani tuwe na utu na tufikirie wengine pia
Dah....basi Kama hujui...Kuna nyumba za kupanga zina misongamano zaidi ya hiyo.....toka Masaki braza...tembetembea uswazi ujifunze[emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Mbowe anataka ashirikishweje labda? Rais ( serikali) imeshatoa miongozo juu ya hili ila yeye kabaki kuhangaika tu mara aingie karantini [emoji28] [emoji28] mara aende bungeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu mimi nimesoma ud nimemaliza 2006 lecture theatre hua tunajaa kuliko darsa la form one. Nakumbuka wakati mwengine ukichelewa ht kuingia huez.

Pili katika hostel zero distancing is equal to zero. Jamani tuwe na utu na tufikirie wengine pia
Obvious lazima lifestyle Ibadilike kaka kuendana na hali halisi.Kama tu lifestyle ya dunia nzima ilivyochange.Halafu mkuu ni kama katoa kidokezo tu...inaweza tokea au isitokee kulingana na hali ilivyo...I'm sure uamuzi utakaotolewa hautakuwa umemshirikisha Rais pekee bali na jopo lingine kutoka sekta muhimu nchini...Suala nyeti sana hili.
 
ugonjwa unakuzwa sana kwa kuwa unawala sana super power US,europe,,africa sio saana kivile
Utaratibu gn ndugu saiv kariakoo hata barakoa watu hawavai wanajua corona imeisha lakini wakati huohuo katika mpk wa zambia na holili madereva wengi toka tanzania wanatest +ve huoni kuna kitu hakiko sawa ila kinafanywa kionekane ni normal
hapo kariakoo mbona hawaanguki na kufa kama kuku wa mdondo ?ni mwezi wa tatu sasa kariakoo kuna nyomi mwanzo mwisho.manzese.tandika sokoni.manzese njia ya kwenda majoe ni nyomi,

acha kufata propaganda za mitandaoni.africa ni nchi chache sana zenye vipimo vya uhakika.vipimo vingi ni batili.africa ukikutwa na corona ukitibiwa ukapona unaachwa kuja uraini kuambikizwa tena,kazi gani sasa hii,
wameshindwa super power US na europe wataweza zambia.
lakini pia lazima maisha yarejee iwe corona ipo au haipo ndege zitaruka na viwanda vitafanya kazi na watu watasafiri ila kwa kufata utaratibu maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mlisema na utabili wenu feki mwezi wa tano zitaokotwa maiti zipo wapi hizo maiti? Hivi nyinyi ni watu kutoka nchi gani? Hivi mara ohh watu wanakufa kama kuku tutajie kwenye familia yenu wamekufa wangapi mpaka sasa? Siyo kila unaloambiwa bila kufikiria unaanza kulieneza tu
 
Kwani suala hili halikugusi ndugu kwa haya yanayoendelea.

Uliwahi kumuona waizir mkuu wa italia akilia hadharani huu ugpnjwa ni hatari siasa haipaswi kuwekwa mbele bali fact,truth na Science
Unaamini propaganda waitaliano wanawajibisha bungeni kwa kuruhusu marekani kuutangazia ulimwengu uongo
 


Akizungumza na taifa Leo hii, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema na kiongozi wa upinzani bungeni Mheshimiwa Freeman Mbowe amemfafanua vizuri Spika wa Bunge kuwa ni MTU wa aina gani.
Akizungumza kwa upole mkubwa, unyenyekevu na weledi wa hali ya juu ameeleza vituko na udhalilishaji ufanywao na Ndugai kama vile gubu la ukewenza.
Hakika Mbowe utulivu usio na chuki umewashangaza wengi kwani utadhani hakuna jambo baya hata moja kesha wahi kutendewa yeye na chama chake.
Tupende tukatae, Mbowe ni kiongozi. Tena kiongozi adimu kupata kutokea katika zama hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.
Mbona hujiulizi kwa kifua kikuu?
Ungehamia tu kenya,huko watu wanajifungia kwa muda usiojulikana
 
Wewe ushauri wako ni nini labda?

Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
 
Back
Top Bottom