Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Na ili iokoke lazima uondoke wewe na corona maana naraa lake unalo wewe
 
ugonjwa unakuzwa sana kwa kuwa unawala sana super power US,europe,,africa sio saana kivilehapo kariakoo mbona hawaanguki na kufa kama kuku wa mdondo ?ni mwezi wa tatu sasa kariakoo kuna nyomi mwanzo mwisho.manzese.tandika sokoni.manzese njia ya kwenda majoe ni nyomi,

acha kufata propaganda za mitandaoni.africa ni nchi chache sana zenye vipimo vya uhakika.vipimo vingi ni batili.africa ukikutwa na corona ukitibiwa ukapona unaachwa kuja uraini kuambikizwa tena,kazi gani sasa hii,
wameshindwa super power US na europe wataweza zambia.
lakini pia lazima maisha yarejee iwe corona ipo au haipo ndege zitaruka na viwanda vitafanya kazi na watu watasafiri ila kwa kufata utaratibu maalum.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umevamia JF kwa fujo hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nawa mikono mara kwa mara kwa saburi na maji tiririka. Epuka safari zisizo za lazima. Epuka misongamano na kama huna kazi za kufanya kaa nyumbani usome vitabu na majarida upate maarifa ya ziada pindi gonjwa hili likiisha.

Habari za Mbowe na familia yake hazitakusaidia katika maisha yako hadi unaingia kaburini.
 
Mkuu ni mpumbavu peeke anaweza kukupinga! Upimaji unaofanyika mipakani na nchi jirani ni kiashiria kikubwa kuwa koona imeshika kasi. Imagine kila siku madereva kutoka tz wakipima wanakutwa na koona je huko wanakotoka hao madereva hali ikoje???
 

HOTUBA YA MBUNGE FREEMAN MBOWE KWA UFUPI

Nimezungumza na Rais kwenye simu nimemuambia tafadhali shirikisha Jamii pana ya Watanzania ili jambo tulibebe wote, huu ni msiba na msiba haachiwi Mtu mmoja, kwa nia njema kabisa, tushirikiane kwa pamoja kwenye mapambano haya dhidi ya virusi vya corona.

Mhe. Rais unafiki haujawahi kuliacha taifa lolote salama, usikae wakati wote ukafikiri sisi ambao tunajaribu kukushauri, kuikosoa Serikali yako na kuilekeza, eti tuna nia mbaya au nongwa na wewe, hapana! , tunafanya hivi kwa nia njema na mapenzi sana kwa nchi yetu."

Mhe. Rais lawama zote za janga la Corona zitakuangukia wewe, huu ni ukweli wa Mungu na mimi kama Mbowe, mtu mdogo sana katika nchi yetu, nikwambie Rais wangu, wanaopinga ushirika wa taifa katika vita hii wanawaza uchaguzi na kuomba huruma yako katika uteuzi.

Nasikitika kwa niaba ya CHADEMA kwa namna ushauri wetu wa kuwataka Wabunge wajiweke karantini ulivyopokelewa vibaya na kuonekana tunashindana, Spika ametumia majukwaa mbalimbali kunishambulia na kuninidhalilisha mimina Viongozi wenzangu bila kuiona nia yetu njema.

Spika kila akitaka kuahirisha Bunge lazima apande na Mbowe, tumekutana Bungeni na Spika miaka 20 iliyopita sijawahi kumvunjia heshima hadharani wala sirini, nimesoma Kibaha na Spika amesoma pale ni mwanafunzi mwenzangu wa shule moja, namuheshimu,naliomba Taifa kumuombea.

Tuligoma lockdown tukashindwa hata kufanya partial lockdown na tukaruhusu ugonjwa kuenea na kuua wapendwa wetu, tulidhani tunalinda uchumi wetu na kusahau uhai wa watu wetu, sasa Corona inaendelea kutula wote, inakula uchumi wetu tupende tusipende.

Namshukuru Mungu kwa sasa Mwanangu ambaye alikuwa mgonjwa wa corona hatimaye amepona baada ya kukaa karantini kwa siku 57 nina uhakika amejifunza mengi, Familia nayo imejifunza mengi, nawashukuru Madaktari na wahudumu wengine

Kufuatia kikao hiki, Kamati Kuu imejadili kwa kina, miongoni mwa agenda mbalimbali, Janga la Corona na athari zake kwa taifa letu, mataifa ya jirani na dunia nzima katika ujumla wake.

Kamati Kuu,ilijiridhisha kuwa janga hili halihitaji masihara, mzaha wala usiri katika kulikabili.Ilitambua kwa mara nyingine umuhimu wa kuweka tofaui zetu pembeni na kutoruhusu chuki za kisiasa, hodhi za kisiasa, kiburi cha madaraka na mamlaka katika kupambana na vita hii.

Mwisho
Seriously!
 
Mbowe mbona hatupi takwimu za Corona za ukoo wake wa Mbowe za idadi ya waliopimwa,waliougua,waliopona, waliofariki na rate ya maambukizi imepungua au imeongezeka kwa kiasi gani ? Hizo hazihitaji serikali ni yeye tu kuzitoa
Tunaziomba ili tuone jinsi hili janga lilivyo kubwa kwenye ukoo wake

Ukoo wake unaficha? mbona hatupi hizo takwimu hata siku moja tunaomba awe anatupa takwimu za kila siku
Hana mamlaka akifanya hivyo atakamatwa na mamlaka.
 
Mbowe aache makelele. Kuna nchi nyingi tu duniani zimeudhibiti mlipuko huu bila lockdown. Hata baadhi ya states za USA hazikuweka watu wake lockdown. Trump mwenyewe hapendi lockdown na amelinyima fedha shirika la WHO kwa ku handle suala hili la covid 19 ndivyo visivyo.

COVID-19 pandemic lockdowns - Wikipedia
 
Mbowe mbona hatupi takwimu za Corona za ukoo wake wa Mbowe za idadi ya waliopimwa,waliougua,waliopona, waliofariki na rate ya maambukizi imepungua au imeongezeka kwa kiasi gani ? Hizo hazihitaji serikali ni yeye tu kuzitoa
Tunaziomba ili tuone jinsi hili janga lilivyo kubwa kwenye ukoo wake

Ukoo wake unaficha? mbona hatupi hizo takwimu hata siku moja tunaomba awe anatupa takwimu za kila siku

Meko baada ya kutaja mwanae wazi, mbona hujataka kujua taarifa zaidi, na ni kwa nini hataki kurudi pale white house...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Watu wengi wanaomponda Rais na Serikali humu ni wale waliokua wakiwaibia wananchi na sasa wameminywa, Mbowe ni muhuni fulani na wala siwezi kumuita muheshimiwa hata siku moja. haihitaji elimu kumuelewa Rais wetu kua na kichwa chenye mawazo pevu sana,iwapo Africa tungekua na maRais kama JPM wasiopungua 40 hivi, Makaburu yangenyoosha mikono juu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Mkuu ni mpumbavu peeke anaweza kukupinga! Upimaji unaofanyika mipakani na nchi jirani ni kiashiria kikubwa kuwa koona imeshika kasi. Imagine kila siku madereva kutoka tz wakipima wanakutwa na koona je huko wanakotoka hao madereva hali ikoje???
Huyu bwana nia yake kwa nchi yetu mmmmh
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Tanzania haitaangamia. Acha hofu. Chukua tahadhari tunazopewa na wataalamu lakini kwa kumtanguliza MUNGU mbele. Achana na fikra hasi. Jifunze kuwa chanya katika maisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Peleke unafiki wako kule.si ufunge safari ukatembelee hivyo vituo pimbi ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom