Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Mbowe: Rais, wanaopinga ushiriki wa Taifa kwenye vita ya Corona wanawaza uchaguzi na huruma yako ktk uteuzi. Ukweli lawama zote zitakuangukia wewe

Pole kwa kukutana na hawa watu wasiojali uhai wa watu. Corona imeonesha jinsi watanzania wengi walivyo na fikra za kienyeji kuanzia mkuu hadi hawa wafia-jiwe. Tunapaswa kuweka uhai mbele na sio ushabiki wa kisiasa.
nenda kaokoe uhai wa US wanaowatuma.
tanzania corona imeshindwa vibaya kama mlivyoshindwa nyiynyi bavicha na propaganda zenu.
tunakula na nyinyi sahani moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nia ya huyu mtu kwa nchi yetu may be TISS na Majeshi yetu wanaijua Ila kwa akili ya kawaida tu,Kuna shida somewhere
Shida kuhusu Nini au wewe una shida..Kama unashida na mmeo hizo ni private issues..lakini Kama ni suala la kitaifa, tuko sambamba na nyuma ya mhe Rais..kamanda Mkuu wa majeshi tunasonga mbele..tuko vitani. Njoo na hoja zako Kama za kitaifa mwaka 2026
 
Mbowe ni mwongo, sijawahi kumwamini hata siku moja. Anatafuta public sympathy baada ya kuharibu kwa kuwafukuza wabunge wake kwenye chama, akashambuliwa na jamii!
Mbona kwenye chama chenu mtu akimsema tu mwenye kigoda anatumbuliwa?Au lazima aone cha moto hiv ulitaka Mbowe awapet pet makalio wabunge walioenda kinyume na maagizo ya CDM Uongozi ni Mamlaka na cyo kubembelezana kama Kumtongoza Binti Kigoli

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Sema utaangamia na corona wewe, mmeo, watoto wako Kama hamchukui hatua yoyote maana naona mnasubiri wadhungu wagundue dawa ndio mnywe..naomba usituchanganye wote humo na familia yako, ukome..kabisa.Mubgu yupo nasi tulianza nae na tutamaliza nae
 
Hivi unafikiri Ripoti hiyo utaisoma muda huo huo Rais anapoisoma? Rais anapata taarifa mapema sana hivyo kuhoji Ripoti imetoka au laah ni kukosa maarifa kwenyewe.

Je, uliambiwa upimaji usingefanyika kipindi wanafanya huo uchunguzi?

..Msemaji wa serikali alipohojiwa na BBC alisema hawapi kwasababu wako ktk utafiti wa kujiridhisha kuhusu ubora wa mashine.
 
hawaruhusu kama unavyofikiria wewe kuna utaratibu maalum utakao zingatiwa wa kitaalam utakaofatwa.
corona haishi leo wala kesho ni lazima maisha yaendelee huku kukiwa na tahadhari kubwa.

magufuli anaanzisha ila hamini nakwambia kuna nchi nyingi tu zita fuata,


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nyingi zimeshafuata..wote wanaojifanya Wana lockdown ngoja tuwaangalie, Wala hatuwacheki..
 
Mhuni na mpumbavu yupi unaweza mvumilia?
Ukiwa muhuni huwezi kukosa sifa ya upumbavu hizi sifa mbili uhuni+upumbavu unazaa ujinga ukishakuwa mjinga hapo ndio unapokuwa unafanya Mambo/vitu/vya kijinga na hii ndio sifa ya mbowe kwahiyo naweza kumvumilia muhuni/mpumbavu ambae Ni mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Mbowe hana washauri wamshauri kwamba hili la corona raia wamesimama na rais Magu?

Au nyie chadema mambo yenu mnafanyia utafiti wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi na mm naomba kuuliza Bw.Mpayukaji kama Kweli maabara ya Taifa ilifungwa kupisha uchunguz wa Vipimo hewa vya Kina Sara Samweli na Elizabeth Lumumba.Je Hii takwim ya kuwa Covid 19 imepungua wamepima kwa Vipimo gani?ilihali maabara ya kuchukua Sampuli Imefungwa na hku tukisubiri report ya Dr.Lyamuya?

Je kuna Umuhimu gan ya kuficha takwimu na kusema hatuna wagonjwa wapya ingawa kila Siku tunamadereva ambao wanarudishwa na wenzetu wa Nchi Jiran kwamba n Positve?

Kama hamjui umuhimu wa Takwimu basi n dhahir Statistics mwalim wenu aliruka topic.
Nasubir comment yko Mr.Vuvuzela


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kujizuia nimeshindwa.

Tanzania inaenda kuangamia kwa kukosa maarifa.

nilikuwa nasubiri nipewe ripoti ya mashine za kupimia ambapo kila takwimu zilizokuwa zinatoka ugonjwa ulikuwa unaongezeka maradufu.

tujiulize km wagonjwa wamepungua je tulipima wangapi na kwa mashine zipi?

Tunaomba viongozi watuambie sisi wananchi je ripoti ya ukaguzi ya mashine imetoka?

na wakaanza kupima tena lini?

najiuliza sipati majib pale mashabiki watakapojazana viwanjani, wanafunzi maskulini na wageni kuingia bila karantini hii ni jambo la kustia mno.


salaam.
Lakini wewe si Lumumba FC??? Pambana na hali yako.
 
Ukiwa muhuni huwezi kukosa sifa ya upumbavu hizi sifa mbili uhuni+upumbavu unazaa ujinga ukishakuwa mjinga hapo ndio unapokuwa unafanya Mambo/vitu/vya kijinga na hii ndio sifa ya mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
UHUNI +UPUMBAVU=UJINGA???!!! Leo ndo nasikia theory hii ya ajabu!

Yaani mjinga anazaliwa na mpumbavu,kweli? Tuache utani basi.
 
Unanikumbusha story moja mbuni alikuwa anafukuzwa na simba akaona option ya kusurvve ni kufikia kichwa chini ya mchanga akiamini amejificha kumbe body yote ipo exposed unajua nini kilitokea?
Kilitokea nini?
 
Kwa hilo la Covid 19 mheshimiwa Mbowe angekubali tu matokeo kwamba kazidiwa.Upamoja wa wananchi na raisi Magufuli katika hili ni ushahidi tosha kwamba Raia wapo pamoja na raisi wao.


Maadamu yeye mheshimiwa Mbowe alishalizungumza basi na aliache na hata km madhara yatakuwepo huko mbele atakuwa shujaa kwa sababu historia itamlinda.


Kwa yeye kuendelea kulisemea mara kwa mara italeta picha km analibeba hilo kama agenda ya kisiasa.
Mkuu

Mfariji wa taifa Hayupo..

Walau mbowe anatufariji

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hilo la Covid 19 mheshimiwa Mbowe angekubali tu matokeo kwamba kazidiwa.Upamoja wa wananchi na raisi Magufuli katika hili ni ushahidi tosha kwamba Raia wapo pamoja na raisi wao.


Maadamu yeye mheshimiwa Mbowe alishalizungumza basi na aliache na hata km madhara yatakuwepo huko mbele atakuwa shujaa kwa sababu historia itamlinda.


Kwa yeye kuendelea kulisemea mara kwa mara italeta picha km analibeba hilo kama agenda ya kisiasa.
Wananchi wa wapi? Kama ni wa Tanzania hawapo pamoja nae kabsa wanajua kaachia watu waambukizane wafe kwa wingi apate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom