Mbowe: Sijaomba msamaha wala sijamtuma mtu kuniombea msamaha

Mbowe: Sijaomba msamaha wala sijamtuma mtu kuniombea msamaha

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
KM wa CHADEMA, @jjmnyika akisoma ujumbe wa mwenyekiti @freemanmbowetz baada ya kujulishwa mbanga za zambarau na MaCCM kumtaka aombe msamaha kwa tuhuma za ugaidi. Freeman anasema yupo tayari kusibiri hata miaka 20 gerezani ili tu ukweli ujulikane hata kama mahakama haziaminiki.

“sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz.

 
Hapo sawa.
O-O.
NI vizur akasubiri haki yake ipatikane ili iwe funzo kwa viongozi wengine wajao
 
Shida ni kwamba haki hucheleweshwa tu ila kupatikana itapatikana na jambo la kuzingatia haki hupatikana kwa maumivu makali na majibu mabaya kwa wale walioinyima haki nafasi yake tusubiri mda utasema.

MBOWE NAKUOMBEA POPOTE ULIPO MUNGU ANAKUONA NA AMESIKIA KILIO CHAKO HARUNI YUPO NJIANI KUMLAKI MUSA ILI WAENDE KWA FARAO KUOMBA KIBALI TUPATE RUHUSA YA KWENDA KAANANI, SASA WACHA FARAO AZIBE MASIKIO ATAJUA HAJUI
 
KM wa CHADEMA, @jjmnyika akisoma ujumbe wa mwenyekiti @freemanmbowetz baada ya kujulishwa mbanga za zambarau na MaCCM kumtaka aombe msamaha kwa tuhuma za ugaidi. Freeman anasema yupo tayari kusibiri hata miaka 20 gerezani ili tu ukweli ujulikane hata kama mahakama haziaminiki.

“sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz.



Mbowe Mwamba Wa Africa
 
KM wa CHADEMA, @jjmnyika akisoma ujumbe wa mwenyekiti @freemanmbowetz baada ya kujulishwa mbanga za zambarau na MaCCM kumtaka aombe msamaha kwa tuhuma za ugaidi. Freeman anasema yupo tayari kusibiri hata miaka 20 gerezani ili tu ukweli ujulikane hata kama mahakama haziaminiki.

“sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz.


Hangaya anatoka zake Zanzibar huko anakuja kututesea kiongozi wetu Tanganyika, atajua hajui na macho yake hayo
 
Jiwe alikuwa mtu katili sana na ndio muasisi wa hujuma zote hizi dhidi ya Mbowe. Mama nae hakutafakari kabla ya kutoa baraka zake Mbowe aendelee kuteswa(alitenda pasipo kutafakari).

Hata hivyo, Mungu ana makusudi kwa kila jambo ambapo ni pamoja na viburi vya watawala. Hivyo katika hii kesi ya Mbowe, kuna kusudi la Mungu nyuma yake.

Kwa maneno mengine, imepangwa /imeandikwa kuwa Mbowe apite kwenye machungu ili watanzania na Taifa lao wapone.
 
Angalau basi apewe dhamana,aendeshe kesi akiwa nje.
Jela siyo peponi, usalama wa maisha yake unakuwa mashakani.
Every point counts.
 
KM wa CHADEMA, @jjmnyika akisoma ujumbe wa mwenyekiti @freemanmbowetz baada ya kujulishwa mbanga za zambarau na MaCCM kumtaka aombe msamaha kwa tuhuma za ugaidi. Freeman anasema yupo tayari kusibiri hata miaka 20 gerezani ili tu ukweli ujulikane hata kama mahakama haziaminiki.

“sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz.

sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz
 
Shida ni kwamba haki hucheleweshwa tu ila kupatikana itapatikana na jambo la kuzingatia haki hupatikana kwa maumivu makali na majibu mabaya kwa wale walioinyima haki nafasi yake tusubiri mda utasema.

MBOWE NAKUOMBEA POPOTE ULIPO MUNGU ANAKUONA NA AMESIKIA KILIO CHAKO HARUNI YUPO NJIANI KUMLAKI MUSA ILI WAENDE KWA FARAO KUOMBA KIBALI TUPATE RUHUSA YA KWENDA KAANANI, SASA WACHA FARAO AZIBE MASIKIO ATAJUA HAJUI
USIJIFANYE MWEMA SANA UNAMUOMBEA MBOWE KUMBE WEWE NI TAPELI RUDISHA PESA YANGU LA SIIVYO NAWEKA PICHA ZAKO NA VITAMBULISHO VYAKO VYOTE HAPA JF ILI WATU WAKUJUE KWAMBA WEEE NI TAPELI UNAYEJIFUNZA.
 
KM wa CHADEMA, @jjmnyika akisoma ujumbe wa mwenyekiti @freemanmbowetz baada ya kujulishwa mbanga za zambarau na MaCCM kumtaka aombe msamaha kwa tuhuma za ugaidi. Freeman anasema yupo tayari kusibiri hata miaka 20 gerezani ili tu ukweli ujulikane hata kama mahakama haziaminiki.

“sijaomba msamaha hata nikae miaka hadi 20 sina hofu. Nipige goti nisaliti dhamiri yangu? I’ll never do, over my dead body. Niko tayari kusubiri nyuma ya kuta za gereza, sina tatizo la kuendelea na kesi, sababu ukweli utakuwa wazi hata kama mahakama haiko huru” - @freemanmbowetz.



Bwana yule na zambarau watakuwa wana cheki na kujisemea hiiiiiiiii 😂😂
 
Back
Top Bottom