Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Chadema kwishaaa kwishaaa
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Basi ccm mlivyo na akili nyembamba mnafurahi kweli
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Kabisa, Bora chama kifie mikononi salama kuliko kukikabidhi Kwa wasaliti.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kunazidi kuchangamka huko Kwa manyumbu.

Mbowe kamatia hapo hapo hakuna kukabidhi chama Kwa wahuni,vibaraka na wapuuzi wengine.

Eti kina Mwabukusi wa TLS ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Eti kina Slaa na Msigwa waliokombia Chadema wakaenda CCM ndio wapiga Kampeni wa kibaraka Lisu

Mwamba tuvushe Usikubari Kuachia Chama Kwa wahuni Bora chama life wakaanzishe Cha kwao 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEg5ivZqY2E/?igsh=MWk4aTlnZ3ljMzY2ZA==

Hivi Lissu ni kibaraka wa nani?
 
Mimi sio mchaga
Ijapokuwa Chadema ipo katika milki ya kichaga.
Ninachokijua ni kuwa Chadema inaendeshwa kwa pesa za uwekezaji wa Mbowe.
Kwahiyo hakuna wa kumuondoa Mbowe Ila Mbowe huwaondoa wale wanaotaka kuwa juu yake.
Nadhani umenielewa sasa
Na mbowe anapata wapi hizo pesa?
 
Sina Wala sifikirii kuwa Mchanga Ili kitokee nini?

Mbowe kamatia hapo hapo Hadi vibaraka wote waombe poo.

Tangu mbowe awe m/kiti kuna kipi kimeongezeka! Chama kimejaza ukanda wao tu, ukabila, udini, utaifa na ukanda, aise chadema ni heri ikawa chini ya kanda zingine ila sio kaskazini
 
Tanzania hatuna wapinzani aiseee...
Binafsi sikipendi chama tawala, lakini kwa mwendo huu naona kukitoa chama tawala bado tuna safari ndefu sana.

..Ccm wanamuogopa mwenyekiti wao kwasababu ana rungu la amiri jeshi mkuu. Usifikiri kwenye vidomodomo wana tofauti yoyote na wapinzani.
 
Tangu mbowe awe m/kiti kuna kipi kimeongezeka! Chama kimejaza ukanda wao tu, ukabila, udini, utaifa na ukanda, aise chadema ni heri ikawa chini ya kanda zingine ila sio kaskazini
Kumsajili Lisu, Chadema Kila kata yaani hata Lisu anatembelea nyota ya Chadema ya Mbowe.
 
Back
Top Bottom