Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

Lema na Msigwa May be ila kwa Lissu Hapana kabisa, Pamoja na Kwamba Lissu sio tajiri lakini bado angekuwa Mtu mwenye Njaa tayari angejiunga na Walamba Asali kitambo sana na Angekuwa kwenye Managerial positions muda tu
 
Sasa hao maaskofu na mamufti wana uhusiano na uongozi wa chadema? Mbowe alitakiwa kuuagiza uongozi wa rais aletewe viongozi wa chadema ili ashauriane nao kuitikia wito wa rais, lakini yeye alitoka na makoti yake moja kwa moja hadi Ikulu na hata baada ya hapo aliwambia viongozi wake kwamba yeye halazimiki kuongea kila kitu alichoongea na rais

On top of that, jamaa akaanza kubadilika totally siye yule aliyeenda jela na kutoka, tunadhani Mbowe angejikita zaidi kwenye hii mijadala kuzungumzia nini hasa walizungumza na rais lakini nini hasa kilichomsibu kuna kila dalili jamaa alifikia bei.

Unataka Lissu makamo mwenyekiti amchukulie hatua Mwenyekiti wakati waliojaribu kumuhoji wamesharambishwa mchanga zamani kina msigwa na wenzake. wacha mbowe yamkute alijifanya mwamba sasa mwamba umepasuka. Sasa ni ashinde mbowe kwenye uchaguzi chama kibaki kwenye makaratasi au ashinde Tundu Lissu Tanzania kuwe na chama kikuu chenye nguvu zaidi cha upinzani
 
Mwenyekiti wa nidhamu kamwe hawezi akasikisiza kesi mwenyewe tofauti na kuagizwa na kamati kuu


Kufwatwa gerezani na viongozi wa dini ndio iwe sababu ya kuwachenga wenzake kuonana na rais

Wenzake wanamsubili kisutu kumbe MWAMBA yupo ikulu
Lisu alikutana na Rais Belgium, alikuwa na nani?
 
Mwenyekiti wa nidhamu kamwe hawezi akasikisiza kesi mwenyewe tofauti na kuagizwa na kamati kuu


Kufwatwa gerezani na viongozi wa dini ndio iwe sababu ya kuwachenga wenzake kuonana na rais

Wenzake wanamsubili kisutu kumbe MWAMBA yupo ikulu
Kisutu kufanya nini?
 
Lisu alikutana na Rais Belgium, alikuwa na nani?
Lisu ameshajibu hili swali kabla ya kukutana na mama abdul alizungumza na Katibu na uongozi wa chama ajenda ya mazungumzo iwe nini lissu alieleza yote kwenye media siku hiyo hiyo licha ya mwamba hadi leo anasema hataweka hadharani baadhi ya mambo aliyozungumza na mama abdul
 
Ni kweli njaa ndiyo kikwazo kikubwa katika vyama vya upinzani.
 
Wakati baba zao wanahangaika na malaya mchaga wa watu anajenga taasisi leo imekua kubwa wanaleta porojo za kimalaya malaya
 
Mboye angenyamaza kimya anazidi kujivua nguo, kwa mtu mwenye akili timamu unaona kabisa anachokifanya ni mfa maji asiyeacha kutapatapa.

..hizi press conference angezlfanya kujibu uongo wa Ccm kwa wananchi, sio kusubiri wakati wa uchaguzi na nafasi yake inatishiwa.
 
Kuanzia sasa itabidi mpaka nisikilize video clip mtu aliongea nini, leo nimegunduwa upotoshaji mkubwa na wa makusudi unaofanywa na member wajinga wajinga wa JF.
Hakika Mkuu, kuwa watu ni wapotoshaji wakubwa, Hii si sahihi.
 
Mbowe kafikia ukomo wa uwezo wake. Miaka 21 ya uenyekiti inatosha. Siku zote ukomo wa vipindi vya kuongoza ndiyo genesis ya demokrasia.
 
Mzee hupokei simu, unatafutwa kwenye mdaharo.
Watz wanasubiri hoja na busara zako kwenye huu mdaharo.
 
Kuna mdaharo,akatoe hoja huko.
Hii tabia ya kukimbia midaharo hufanya na miccm. Chadema hawana desturi za kukacha midaharo, huu uoga unatoka wapi?
Mkumbusheni kupokea simu nyie chawa wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…