Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Lema na Msigwa May be ila kwa Lissu Hapana kabisa, Pamoja na Kwamba Lissu sio tajiri lakini bado angekuwa Mtu mwenye Njaa tayari angejiunga na Walamba Asali kitambo sana na Angekuwa kwenye Managerial positions muda tu