Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

Hebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?

Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni

Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
Hana hoja zaidi ya kuomba afikishe miaka 68.
 
Back
Top Bottom