Mbowe tulikuonya kuhusu kushangilia kifo cha Magufuli ukapuuza

Ni mwizi wa mabilioni huyo nenda kamuulize Msigwa
Mimi sio mwizi. Sipo hapa kumtetea Mbowe niko hapa kusema kuhusu ukabila wa wazi wazi wa Magufuli na kuonea watu wazi wazi. Alivyokufa nilifurahi sana. Kama haujui aliowabeba ndio waliommaliza. He died a lonely death.
 
Mimi sio mwizi. Sipo hapa kumtetea Mbowe niko hapa kusema kuhusu ukabila wa wazi wazi wa Magufuli na kuonea watu wazi wazi. Alivyokuwa nilifurahi sana. Kama haujui akiwabeba ndio waliommaliza. He died a lonely death.
Ukweli ndiyo huo.
 
Mimi sio mwizi. Sipo hapa kumtetea Mbowe niko hapa kusema kuhusu ukabila wa wazi wazi wa Magufuli na kuonea watu wazi wazi. Alivyokufa nilifurahi sana. Kama haujui aliowabeba ndio waliommaliza. He died a lonely death.

Ila uko hapa kulamba miguu ya Mbowe
 
Ila uko hapa kulamba miguu ya Mbowe
Mbowe hana elimu na ni mtoto wa kishua hajui shida.Simtetei Mbowe ninachokataa ni kusema kuwa Magufuli alikuwa Rais Mzuri. Walio na akili watakuwa amejifunza na kifo chake maana. Maana hata waliombeba walimuangusha.
 
Ukweli kwamba ni gaidi?
Ndugu yangu hata kama hatujuani ila hebu punguza kuwazushia watu vitu usivyo na uhakika navyo,nakuomba umuogope mno aliyeiumba hii dunia ambapo sio mbali mutaonana,kiukweli magufuli kuna mema aliyafanya na kuna mengine ya hovyo aliyafanya...uzuri au ubaya wa magufuli unategemea na kila mmoja yaliyomkuta kwenye utawala wake...mfano lissu au azory gwanda wangekuwa ni wazazi wako ungemfurahia magufuli?fikiria aliivunja billcanas mfano ingekuwa mbowe ni baba yako na kavunjiwa wewe ungeendelea tu kumkubali magufuli? Munatuambia siasa sio uadui ila fikiria byakanwa kaharibu bustani ya mbowe bila sababu na magufuli akampandisha cheo
 

Mahakama ndiyo ilimkuta mbowe ni gaidi
 

Magufuli ndiyo amewazuia kupeleka ushahidi mahakamani?
 
January, Nape, Kinana nao wameunga tela la mateso
 
Leta ushahidi mbowe akiwa anashangilia kifo cha Magufuli?
Ila mwendazake alikataa lisu asiombewe wala kutibiwa hatimae Mungu akaingilia kati bahari ikatulia
 
Leta ushahidi mbowe akiwa anashangilia kifo cha Magufuli?
Ila mwendazake alikataa lisu asiombewe wala kutibiwa hatimae Mungu akaingilia kati bahari ikatulia
Una ushahidi wa madai yako haya?
 
Leta ushahidi mbowe akiwa anashangilia kifo cha Magufuli?
Ila mwendazake alikataa lisu asiombewe wala kutibiwa hatimae Mungu akaingilia kati bahari ikatulia
Unaomba ushahidi at the same time nawewe unakuja na empty complain.
 
Mbona huachi kupandisha huu Uzi wewe kima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…