Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu ni wewe usiyejua Historia ya nchi hii pumbavu.Mreno alileta baadhi ya mazao na kujenga miji kadhaa Tanganyika.Mwarabu akaleta biashara ya utumwa na dini ya kiislam.Mjerumani kajenga Reli ya Kati na kutujengea barabara na maboma Tanzania.Pamoja na Bandari ya Dar es Salaam mwasisi wake ni Mjerumani.Mwingireza kajenga barabara na reli ya kwenda Arusha hadi Kenya.Sasa wewe mpumbavu huyo Magufuri kakuta kila kitu na kaanza kuibomoa tanzani ili kujeng nchi ya Chato na Sukuma land.Nyerere katumia miundo mbinu ya Mjerumani kusoma,Mwinyi katumia miundo mbinu ya Mwingereza kusoma,Mkapa katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza na Nyerere kusoma,Kikwete katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza na Nyerere kusoma,Magufuri katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete kuongoza nchi.Kwa nyumbu ni mjerumani
Hadi uwe mzalendo kama MagufuliHata wewe na fikra zako hizi duni ukiwa rais mbona barabara zitajengwa tu?
Walishindwa nini???Na Magufuri alifaulu nini???Hadi uwe mzalendo kama Magufuli
Mbona wengine walishindwa?
Nyumbu ni wewe usiyejua Historia ya nchi hii pumbavu.Mreno alileta baadhi ya mazao na kujenga miji kadhaa Tanganyika.Mwarabu akaleta biashara ya utumwa na dini ya kiislam.Mjerumani kajenga Reli ya Kati na kutujengea barabara na maboma Tanzania.Pamoja na Bandari ya Dar es Salaam mwasisi wake ni Mjerumani.Mwingireza kajenga barabara na reli ya kwenda Arusha hadi Kenya.Sasa wewe mpumbavu huyo Magufuri kakuta kila kitu na kaanza kuibomoa tanzani ili kujeng nchi ya Chato na Sukuma land.Nyerere katumia miundo mbinu ya Mjerumani kusoma,Mwinyi katumia miundo mbinu ya Mwingereza kusoma,Mkapa katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza na Nyerere kusoma,Kikwete katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza na Nyerere kusoma,Magufuri katumia miundombinu ya Mjerumani,Mwingereza,Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete kuongoza nchi.
Raha ya kuona dikteta aliyekuwa anapanga nani aishi na nani afe, ila ameanza kufa yeye kwanza.Sasa mmepata nini?
Sio walishindwa ila barabara hazikuwa kipaumbele siku hizo na pia uchumi ulikuwa mdogo sana.Hadi uwe mzalendo kama Magufuli
Mbona wengine walishindwa?
Aisee hii kkali sana,Sasa wewe una ratiba ya atayetangulia,jifunze enzi zile za hayati Lowasa wangapi walidhani Wataons umauti wake lakini cha ajabu yeye(Lowasa)akaona umauti wao,Chezea AL mighty 🤔hata ungetaka kunikataza huwezi, akifa mboye mlevi wa konyagi lazima tunywe konyagi kushangilia kifo chake
hiyo utajua wewe sasa, akikufa mboye lazima tufanye party, kuimba kupokezanaAisee hii kkali sana,Sasa wewe una ratiba ya atayetangulia,jifunze enzi zile za hayati Lowasa wangapi walidhani Wataons umauti wake lakini cha ajabu yeye(Lowasa)akaona umauti wao,Chezea AL mighty 🤔
Ben alitolewa sadaka na mbowe akishirikiana na genge la JAMBAZI ROSTAM AZIZI ILI KUMCHAFUA JPM....hapo ndipo nilipo mvulua kofia bwana elikaeli mboweeeeMfano Chacha Wangwe aliuawa kisa tu ametaka uenyekiti
Mbona mama yako ni gaidi kwa baba yako hatusemi.Mbowe Gaidi lile
Hapana mtu wa kumvulia kofia ni dikteta magufuli wa chato ambaye hatujui aliko...Ben alitolewa sadaka na mbowe akishirikiana na genge la JAMBAZI ROSTAM AZIZI ILI KUMCHAFUA JPM....hapo ndipo nilipo mvulua kofia bwana elikaeli mboweeee
Kaka yake Mbowe ni mtu tofauti na MboweKati ya kaka yake Mbowe na Magufuli nani alianza kufa?
TANZANIA TUNATAKA DICTATOR MZALENDO..SIYO WAPUMBAVU TULIONAO SASA AMBAO WAMEPATA VYEO KWA KUTUMIA TOBO ZAO MBILI ZA CHINI NA SI AKILI ZAO VICHWANI .Hapana mtu wa kumvulia kofia ni dikteta magufuli wa chato ambaye hatujui aliko...
wamehamia kwenye matusi ya kumtusi rais na kuchangishana faini.Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.