Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe atakufanya kitu kibaya. Muda wote wewe Mbowe tu utadhani ni mume wakoakifa mboye tutashangilia.
Hatuendeshi maisha kwa kutegemea mizimu ya watu wa kale na viungo vya albino.Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
ASANTE MKUU.hata ungetaka kunikataza huwezi, akifa mboye mlevi wa konyagi lazima tunywe konyagi kushangilia kifo chake
Kama ni laana ya kutafuna inatafuna sana upande wa chama chako mnaomshabikia "YULE MWOVU"Laana inawatafuna
Nipo mbagala we endelea kuisubiria serikali watu tulishaacha kuisubiria serikali miaka 20 iliyopita.Lofa kama wewe huwezi kuwa ujerumani
Unakumbuka aliyofanyiwa na mwendazake?Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
hata mboye nae akifa tutashangilia tu
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimezunguka dunia lakini hapa east africa watanzania tupo nyuma sana aisee. Sio kwamba sisi ni wavivu ni kwamba hatuna macho ya kuona fursa. Na mfumo wetu wa elimu unazidi kutukandamiza tuwe na akili za kijamaa.Utakuwa Tandale majalalani huko
Jiwe ndiye alikuwa kiongozi wa watu wenye vyeti fake. Ben alimfatilia akaishia kuuwawaWw unajulikana ni vyeti fake
Mbowe na na zito wakifa ntakesha bar nalewa kwa furaha,hata mboye nae akifa tutashangilia tu
Mbowe na zito wakifa ntakesha bar nalewa kwa furaha,