Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimezunguka dunia lakini hapa east africa watanzania tumekaa sana aisee. Sio kwamba sisi ni wavivu ni kwamba hatuna macho ya kuona fursa. Na mfumo wetu wa elimu unazidi kutukandamiza tuwe na akili za kijamaa.
Yaani ulivotimuliwa na vyeti feki ulitaka uendelee kutamba na kula jasho la wengineYanahusiana vipi Msigwa kuhama chama na Mbowe kushangilia kifo cha Magufuli! Mtu ukiumiza watu siku ukifa watu uliowaumiza lazima watashangilia tu,tuishi vyema hapa duniani tunapita tu.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nipo hapa ofisini nakucheki kijana usikasirike mimi ukinitukana ndio nafurahi ndio najua ujumbe umefika.Wajerumani wanasema 'Du siehst den Wald vor lauter Bäumern nicht.'Nyumbu hawezi kuzunguka dunia
Mimi nilkunywa sana na washikaji baada ya taarifa ya kifo cha DHALIMU. Ilikuwa ni bonge la sherehe, nyama choma kwa kwenda mbeleWatu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Na bado tunaendelea kushangilia kifo chakeWatu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
chama cha kihuniWatu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
ChaiMungu ibariki CHADEMA inayoongozwa na kiongozi machachari mheshimiwa Freeman Mbowe.
Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Vipi kuhusu aliyeshangilia kifo cha jpm akasema " Mungu ameamua ugomvi"Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Kama ni kweli aliposhangilia alirekodi, weka video hapa.Watu wenye maono ya ndani ya roho na wanaoongozwa na misingi ya kimungu walimtahadhalisha Freeman Mbowe na wapambe wake kuhusu kushangilia kifo cha hayati Magufuli kwani laana yake ni kali.
Mbowe kama kawaida yake ya udikteta akajifanya kichwa ngumu, akarekodi mpaka video akishangilia kifo hicho! Watanzania wengi waliumizwa sana na kitendo hicho na ilipelekea mwanachama wa chadema wakati huo Lazaro Nyalandu kukihama chama hicho.
Laana bado inaendelea na Chadema imepoteza mvuto kwa wananchi, wameshindwa chaguzi zote za marudio, wameendelea kukimbiwa na wanachama wao muhimu ikiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Nyasa Peter Msigwa.!
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu anaonekana dhahiri hana maelewano mazuri na mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe. Kuna mpasuko na ufa wa kutisha ndani ya Chadema.
Baada ya miaka 3 kupita tunamuuliza Mbowe, Chadema kimepata faida gani kutokana na kushangilia kifo cha Magufuli?
Na bado Laana imetafuna na itaendelea kutafuna.
Chadema ipo palepale, hakuna chsma chochote duniani kinachomtegemea mtu mmoja, Dr. Slaa alikuwa mgombea urais alitoka na chama kipo, Lowassa alikuwa mgombea urais alitoka chama kipo palepale, Sumaye alitika chama kipo palepale, ni mjinga tu asiyejua siasa hudhani chama ni mtu mmoja.Chadema imefika wapi sasa?
Na pia zile mbuzi za migombaniHatuendeshi maisha kwa kutegemea mizimu ya watu wa kale na viungo vya albino.
Chadema ipo palepale, hakuna chsma chochote duniani kinachomtegemea mtu mmoja, Dr. Slaa alikuwa mgombea urais alitoka na chama kipo, Lowassa alikuwa mgombea urais alitoka chama kipo palepale, Sumaye alitika chama kipo palepale, ni mjinga tu asiyejua siasa hudhani chama ni mtu mmoja.
Huko kuni zinachochewa hatari.Laana inawatafuna
Ndivyo mnavyojifariji!Yaani ulivotimuliwa na vyeti feki ulitaka uendelee kutamba na kula jasho la wengine
Huko kuna kamati ya roho mbaya ya malaika kazi yao ni kuchochea kuni usiku na mchana hawasinzii hata kidogo.Laana inawatafuna
SIkuwa shabiki wa magufuli eapecially maono yake na perception yake kwa wafanyabiashara ma matajiri, ila kwa uchapakazi na utendaji ngumu kupata kiongozi wa aina yake
1.Hizi flyovers tumeanza kuziona kipindi chake
2.leo tanzania tuna umeme mwingi hadi tunauza kwa majirani zetu, hii ilikuwa ndoto hadi nchi zilizoendelea kama southafrica wameshindwa kuwa na umeme mwingi kuliko mahitaji ila magufuli kaliweza hili
3.kipindi chake kulikuwa na uwajibikaji kwa watumishi wa umma
4.leo ukifika kibaha kuna njia nane ,wote tunajua foleni ukitoka mikoani kuingia dar ,sasahivi imekuwa ndoto
Kafanya mambo mengi kwa muda mchache apewe sifa zake hakuna asiyekuwa na mapungufu