Mbowe: Tunamkumbusha Rais Samia hao wabunge na madiwani hawakuchaguliwa na wananchi

Mbowe: Tunamkumbusha Rais Samia hao wabunge na madiwani hawakuchaguliwa na wananchi

Mkuu kwanza wabunge wenyewe na madiwani hawawezi fanya mikutano wanaogopa MPAKA vivuli vyao kwenye majimbo yao, wachache Sana wanaweza simama maana wanajua hawakuchaguliwa, na ndo hao wakisikia katiba MPYA wanatamani kimbilia chini ya uvungu mwa kitanda
Hakuna mwenye ujasiri wa kufanya mikutano maana hata wajumbe waliwakataa
 
"Mama anasema wabunge wafanye mikutano kwenye maeneo yao, mambo yaleyale aliyetueleza Mwendazake, tunakumbusha Mama Samia hao wabunge na madiwani hawakuchaguliwa na wananchi"-Freeman Mbowe

Huyu makengeza mushawahi kumwamini? Huyu anabweka ili masirahi yake yatimie na hao watu wake. Saizi zoezi kuu ni kutingisha kiberti. Huyu si aligombea kama hao wabunge hawakuchaguliwa na wananchi mbona yeye pia alishiriki kwenye uchaguzi? Ameona mama hatiki kukubali ujenda yao.
 
"Mama anasema wabunge wafanye mikutano kwenye maeneo yao, mambo yaleyale aliyetueleza Mwendazake, tunakumbusha Mama Samia hao wabunge na madiwani hawakuchaguliwa na wananchi"-Freeman Mbowe

Kweli wanasiasa ni ngumu sana kuwaelewa aiseee MBOWE sialiomba kukutana na RAISI.Sasa anamtambua vipi MAMA SAMIA kuwa ni RAISI na wakati hautambui uchaguzi ule unaomfanya sasa hv awe RAISI.Maana ni unafiki kuwakataa wabunge na madiwani halafu ukamkubari RAISI wa JMT ambae anatokana na uchaguzi ule ule.SHIDA NI MSIMAMO.
 
Back
Top Bottom