Pre GE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

Pre GE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mimi natamani kujua hayo maandamano ya shari anayosema Mwenyekiti yanakuwaje?

Nimesema humu, serikali imeshajua maandamano hayana madhara yoyote na kutumia nguvu kuyazuia ndio kunayapa 'kiki' sasa wameamua kuwaacha watembee barabarani na mabango.

Rais Samia anaendelea kujizolea sifa za ustahimilivu na kuheshimu demokrasia.

..sifa ya ustahamilivu.

..sifa ya tume huru ya uchaguzi.

..sifa ya katiba mpya na bora.

..sifa ya uchumi bora na fursa kwa Watz.
 
..sifa ya ustahamilivu.

..sifa ya tume huru ya uchaguzi.

..sifa ya katiba mpya na bora.

..sifa ya uchumi bora na fursa kwa Watz.
Acha kujitoa fahamu we pimbi. Maandamano ya shari yakoje? Zaidi ya kubeba siraha, kuharibu mali na amani nchi. Pumbavu mkubwa wewe. Shwaini.
 
Ni kweli Mbowe akiamua maandamo ya shari ni simple kuliko ya shwari.

Maandamano ya shari ni kufa kupona patashika nguo kuchanika hasara kama zote.
Na hayo ndo yataleta mabadiliko nchi hii.

Mwisho wa siku ni kuheshimiana full stop [emoji113]
 
Hawa maGT wasiku hizi punguan kweli kwahiyo jiwe mlimuona Mungu?!
Yeye kama mlikuwa mnamuona na kuhisi ni alfa na omega mbona hayupo, kwamba si angejibakisha duniani?!!
 
Unajadili mada gani? Umekosea njia . Au hujasoma kichwa cha habari vizuri?
Inaelekea wewe tayari unatakwa lako kwenye hii mada, Mbowe kasema wanaouwezo wa kheri na shari, wewe kheri hautaki ijadiliwe bali unataka shari tu ndiyo ijadiliwe! Kosa hapa ni kuiweka hoja ya kheri, ingeondolewa ibakie shari mnayoitaka.
Mada zenye msimamo wa jibu ni mada za kipumbavu.
 

Mimi natamani kujua hayo maandamano ya shari anayosema Mwenyekiti yanakuwaje?

Nimesema humu, serikali imeshajua maandamano hayana madhara yoyote na kutumia nguvu kuyazuia ndio kunayapa 'kiki' sasa wameamua kuwaacha watembee barabarani na mabango.

Rais Samia anaendelea kujizolea sifa za ustahimilivu na kuheshimu demokrasia.
Sawa ila rohoni mwako haupendi, kwani hizi akili ndogo zilikuwa wapi miaka yote?
 
Katika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Yupo sahihi kabisa
 
Katika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Moderator naomba muiondoe hii mada. Sio mada niliyopost. Hii ni ya kwenu binafsi kwa matakwa yenu
 
Katika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Hivi mbona hampendi kuambiwa ukweli?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe na wao wanajua kuwa wanafanya matembezi ya hisani sio maandamano 😄😄😄😄😄
 
..sifa ya ustahamilivu.

..sifa ya tume huru ya uchaguzi.

..sifa ya katiba mpya na bora.

..sifa ya uchumi bora na fursa kwa Watz.
Hilo la kwanza ni sawa ila hayo mengine sina hakika sana.
 
Back
Top Bottom