Pre GE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

Pre GE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika uhalisia, umafanya amani na ustaarabu kwa mtu anayethamini amani na ustaarabu. Kufanya ustaarabu dhidi ya mhuni, unakuwa unapoteza muda.

CHADEMA waendelee na maandamano ya amani huku wakipima kama CCM inaelewa lugha ya kistaarabu? Kama haielewi, basi lazima.kwenda kwa namna ambayo wataelewa.
CHADEMA wanataka maandamano, ila wanaandama huku wakiwa hawana ajenda ya maana, wanakuwa watu wa kurukia matukio,
Suala la katiba walishaambiwa litakavyokuwa, ila wao wanataka iwe kesho asubuhi,
 
Aandamane na wanae na familia yake
 
Mwanasiasa sio mtu wa Mchezo mchezo

alipewa kandarasi ya miaka 7 kuutangazia Umma kuwa Mmasai ni Fisadi na akaifanya kwa ufanisi kuliko kazi yoyote nyingine

akapewa tena kandarasi ya Miaka 6 ya kumtangaza Ngosha kuwa ni Dikteta

akiwa kwny Public hujifanya anaempaga Kandarasi kuwa ni Adui yake

walipofurushwa na Ngosha walimtumia kuwasaidia kupata hifadhi nje ya Nchi na ngosha alipokatwa kichwa wakamtumia tena kuwasaidia kurudi

sasa hivi wanatumika tena kusaidia kupatikana kwa fedha za Millenium challenge
Kwa kuonyesha demokrasia ya mchongo sio!!?

Kweli Huyu jamaa ni kada mwaminifu was kijani kibichi!hatutofautiani sana!!
 
Kwa hiyo Maandamano ya Amani hawajaridhika nayo, wanataka ya fujo.
Wameshazoea fujo. Hawakutarajia kama maandamano yao yatakubaliwa...sasa wanataka maandamano ya kusababisha vurugu, ndivyo walivyo.
 
Wewe mamako aliliwa mtungo kwenye mkesha wa mwenge baada ya kulewa mataputapu hapo ulipo humjui babako halisi ndiyo maana huna adabu.
Bora mama ako angetoa ndogo kwenye bao lako ili ukacheze na mavi
 
Wanataka wabebe mapanga na shotgun
Walisema mzaha mzaha mwisho hutumbuka usaha, wameshaonja asali wanataka kuchonga Mzinga, ila selikali huu mzaha wanaofanya ipo siku watakuja kulia,wakumbuke kilichomkuta Gadafi
 
Back
Top Bottom