Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hii ni chadema huku hakuña machawa beiKatika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."