Pre GE2025 Mbowe: Tunaweza kufanya maandamano ya shari endapo hatutosikilizwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni chadema huku hakuΓ±a machawa bei
 
Yaan kupanga maandamano halafu kuyafanya ni mafanikio ya kwanza!!!
Basi kama ndivyo, tatizo ni kubwa. Sidhani kama tunafanya maandamano ili kujifurahisha.
 
Muwe mnaweka na kauli za kiboya za yule boya lenu linalozunguka huko mikoani
 

Lema alivyotaka kurudi eti alimpigia simu Jk
 
Wameona ya amani hayawapitii umaarufu kwenye media .ya vurugu watapata coverage ya BBC na voa
 
Wameona wananchi wametulia maandamano yamekosa mvuto sasa wanataka kuleta fujo wajaribu hayo maandamano ya shari ndio wataelewa .
 
Kwani Samia alichaguliwa na nani?
 
Jikite kwenye mada
Kwani kuna nini cha pekee hapo? Binadamu yeyote ana uwezo wa kuwa mstaarabu au kufanya vurugu. Ana uwezo wa kutumia mazungumzo au nguvu. Hilo ni jambo la kawaida sana.
 
Kwa hiyo Maandamano ya Amani hawajaridhika nayo, wanataka ya fujo.

Katika uhalisia, umafanya amani na ustaarabu kwa mtu anayethamini amani na ustaarabu. Kufanya ustaarabu dhidi ya mhuni, unakuwa unapoteza muda.

CHADEMA waendelee na maandamano ya amani huku wakipima kama CCM inaelewa lugha ya kistaarabu? Kama haielewi, basi lazima.kwenda kwa namna ambayo wataelewa.
 
Maandamano ya shari alikuwa anamaanisha nn?
Kwamba wataua watu njiani? Watapora watu njiani? Wataziba barabara?

Sidhani kama ilikuwa kauli sahihi kwa FAM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…