Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hii ni chadema huku hakuΓ±a machawa beiKatika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Yaan kupanga maandamano halafu kuyafanya ni mafanikio ya kwanza!!!
Wazazi wako ndiyo hawana akili timamu ndiyo maana walishindwa kupanga uzazi hadi wakakuzaa wewe ukiwa tutusa.
Muwe mnaweka na kauli za kiboya za yule boya lenu linalozunguka huko mikoaniKatika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Mwanasiasa sio mtu wa Mchezo mchezo
alipewa kandarasi ya miaka 7 kuutangazia Umma kuwa Mmasai ni Fisadi na akaifanya kwa ufanisi kuliko kazi yoyote nyingine
akapewa tena kandarasi ya Miaka 6 ya kumtangaza Ngosha kuwa ni Dikteta
akiwa kwny Public hujifanya anaempaga Kandarasi kuwa ni Adui yake
walipofurushwa na Ngosha walimtumia kuwasaidia kupata hifadhi nje ya Nchi na ngosha alipokatwa kichwa wakamtumia tena kuwasaidia kurudi
sasa hivi wanatumika tena kusaidia kupatikana kwa fedha za Millenium challenge
Wameona ya amani hayawapitii umaarufu kwenye media .ya vurugu watapata coverage ya BBC na voaKatika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Maandamano yamekosa mvuto wewe ulikuwepo jana hapa Mwanza au umesimuliwa na yule nyamitako wenu?Wameona wananchi wametulia maandamano yamekosa mvuto sasa wanataka kuleta fujo wajaribu hayo maandamano ya shari ndio wataelewa .
ππππ
Hamas mmejawa na propaganda ππWameona wananchi wametulia maandamano yamekosa mvuto sasa wanataka kuleta fujo wajaribu hayo maandamano ya shari ndio wataelewa .
Kwani Samia alichaguliwa na nani?Katika maandamano yaliyofanyika Mwanza, Februari 16, 2024, Freeman Mbiwe amesema "Tuna uwezo wa kufanya maandamano ya amani, lakini vilevile tuna uwezo wa kufanya maandamano ya shari. Nawaambia polisi na usalama wa taifa, waelezeni mabosi zenu, sisi kitu tunachokisema viongozi wa CHADEMA tunawasilisha hisia za mamilioni ya watu hawa."
Hahahahahaha labda hawajapata walichokitakaKwa hiyo Maandamano ya Amani hawajaridhika nayo, wanataka ya fujo.
Kwani kuna nini cha pekee hapo? Binadamu yeyote ana uwezo wa kuwa mstaarabu au kufanya vurugu. Ana uwezo wa kutumia mazungumzo au nguvu. Hilo ni jambo la kawaida sana.Jikite kwenye mada
Kwa hiyo Maandamano ya Amani hawajaridhika nayo, wanataka ya fujo.