Mbowe, ukitoka jela pumzika siasa. Wafuasi wako wanakusaliti

Mbowe, ukitoka jela pumzika siasa. Wafuasi wako wanakusaliti

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Unampangia binadamu mwenzio namna ya kuishi duh!
Mbowe amechagua kuishi anavyotaka yeye, fanya yako ndugu
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Familia imetoa tamko leo keamba wanafata msimamo wa baba yao.


Wewe fala mmoja kutoka Mbwinde huko unaandika ushudu.

Kwamba wewe una huruma sana kuliko wenye baba yao?
 
Sheikh ubwabwa uko nyuma ya muda mnoo.



1639820617577.png
 
Hapo ndo anakomaa kisiasa siasa ikiwa kwenye damu hakuna kazi nyingine utakayoifanya na chuma kikipita motoni kinakuwa imara zaidi.
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Wanaomsaliti ni hao WANAOMBAMBIKIZIA KESI ZA KIJINGA Chadema tutakufa na MBOWE hata yeye analijua
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Mzee Mudi na ID yake ya bandia.
 
Mbowe alishasema siasa mwisho 2023. Acheni kupiga ramli.
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Sukuma gang hamchoki.
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Mnampangia kukaa ndani Sasa MNATAKA kumpangia jinsi ya kuishi akiwa nje. MNA MAPEPO MABAYA SANA WATUMWA WA SHETANI NYINYI
 
Wanaukumbi.

Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.

Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.

Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
polepole aungana na freeman mbowe chadema
 
Back
Top Bottom