cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Apumzike siasa wakati yuko kazini huna akili wewe,anayoyafanya yoooote yamepangwa na analipwa vzr tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majitu hayaelewi kuwa ni Mrema 2 huyo yuko kaziniMbowe hajawahi kuwa Mwanasiasa
USSR
Sheikh ubwabwa hapa tayari umeshapinic 😂Mashoga bana hahaha
Analipwa na nani? Wewe ni pimbi!!!Apumzike siasa wakati yuko kazini huna akili wewe,anayoyafanya yoooote yamepangwa na analipwa vzr tu!!
SIPANGWINGWI!Wanaukumbi.
Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.
Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.
Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Ritzabet umefufukaWanaukumbi.
Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.
Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.
Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Na ile jinsia nyingine waliambiwa watapewa nini vile??peponi kwenu ndiyo kule mliambiwa mkifika mnapewa mabikira 70??
Wale wamepotezewa kama hawapo kabisa 🤣Na ile jinsia nyingine waliambiwa watapewa nini vile??
Wanaukumbi.
Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.
Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.
Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Aende kwanza akatoe ushahidi mbinguni.Ritz ambae ni reportedly Mwigullu Nchemba upo hapa kumuelimisha Mbowe cha kufanya kwamba unampenda sana leo ghafla bin vuu?
peponi kwenu ndiyo kule mliambiwa mkifika mnapewa mabikira 70??
Awe Kama wewe ulivyofyata kwenye ngada baada kukamatwa China siyo?Wanaukumbi.
Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.
Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.
Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
Acha umbea wewe anasalitiwa na nani? Mbowe ndiye masihi wa Tanganyika.Wanaukumbi.
Mbowe, rafiki yangu ukimalizana na kesi pumzika kufanya siasa ili upate muda wa kupumzika na kujitafakari upya huku nje hauna watu una wasaliti watupu.
Hawakutakii mema. Wanataka ukae jela miaka wakutumie tu kama chambo wenyewe huku uraiani wanapiga hela za wafadhili Kujitoa ulikokwisha fanya kunatosha kwa sasa. Kila mtu ameona najua muda si mrefu unatoka ukitoka fukuza hawa wahuni wote.
Watoto wako mke wako ndugu zako wanapambana utoke hawa wanaojiita wafuasi wako hawataki utoki kwa nini? Inasikitisha sana.
We mtu mzima kisheti jiheshimu, kwani uongo ukiwekewa ubwabwa hurukwi na akili?Mashoga bana hahaha
Lazima afufuke... hii ni minyoo ya bakwata ilikua imelegea kwa njaa na kuzimia pale Mtambani, Manyema na kwa mtoro sasa imenyanyuka baada ya kuisikia harufu ya ubwabwa toka kwa yule bibi macho...Ritzabet umefufuka
Huyu mjanja wa JF anaandika nondo hahahhaLazima afufuke... hii ni minyoo ya bakwata ilikua imelegea kwa njaa na kuzimia pale Mtambani, Manyema na kwa mtoro sasa imenyanyuka baada ya kuisikia harufu ya ubwabwa toka kwa yule bibi macho...
Zamu ya mwenzao so wanakula bure now.