Pre GE2025 Mbowe Usikubali Kuachia Chama Ulichokipigania Kwa Jasho, Damu na Fedha kwa Mhamiaji wa NCCR-Mageuzi, kama ni rahisi Akaanzishe Chake

Pre GE2025 Mbowe Usikubali Kuachia Chama Ulichokipigania Kwa Jasho, Damu na Fedha kwa Mhamiaji wa NCCR-Mageuzi, kama ni rahisi Akaanzishe Chake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kunguni wa mama Abdul mmeanza lini kumshabikia mtu mliyemuita Mugabe?

Mpo busy na Mbowe wakati chama chenu mwezi wa 5 sasa hamna makamu mwenyekiti na mnasema mwakani fomu ni moja tu sasa maamuzi ya kimugabe ni ya chama gani?

Kunguni ni kunguni tu!
IMG_20241029_181621.jpg
 
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19

Mnaharibia sana
 

View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869377455506731291?t=vDeWJfRySAWVwIIHmm2fTw&s=19

Chama kina wenyewe kina Mbowe sio chama Cha wahamiaji harafu na vibaraka wa kina Amsterdam 🤣🤣

Nasema hivi, mabadiliko yakifika yamefika tu, hizo siasa za hadaa za kualika watu nyumbani ni za kiccm, ndio Lowassa nk walikuwa wanatumia. Lisu hahitaji kundi kubwa la kuhonga, yeye yuko na sisi waumini wa kweli wa mabadiliko. Na kwa taarifa yako Lisu hahitaji kuwa cdm ili kufanya hizo siasa za hadaa, kama huamini, Lipumba pia alijidanganya akawa nje ya siasa za kweli, Maalim Seif aliondoka na kundi zima la wafuasi wa CUF, Lipumba akabaki lipumbavu. Na Mbowe akibugi akawa nje ya mabadiliko imekula kwake.
 
Nasema hivi, mabadiliko yakifika yamefika tu, hizo siasa za hadaa za kualika watu nyumbani ni za kiccm, ndio Lowassa nk walikuwa wanatumia. Lisu hahitaji kundi kubwa la kuhonga, yeye yuko na sisi waumini wa kweli wa mabadiliko. Na kwa taarifa yako Lisu hahitaji kuwa cdm ili kufanya hizo siasa za hadaa, kama huamini, Lipumba pia alijidanganya akawa nje ya siasa za kweli, Maalim Seif aliondoka na kundi zima la wafuasi wa CUF, Lipumba akabaki lipumbavu. Na Mbowe akibugi akawa nje ya mabadiliko imekula kwake.
Waliodai vieteli hazifai wanatafita hizo hizo Vieteli 😆😆😆👇👇

View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1869111676286767327?t=tcdd-gcio4vQtS2bscWI8Q&s=19
 
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19

Hivi mnamwonaje Mwenyekiti Mbowe? Mnaamini ni punguani kama ninyi? Yaanimnaaminikuwa Mbowe amekosa watu wenye akili timamu wa kumshauri mpaka akachukue ushauri kutoka kwa mapunguanichawawa Samia?

Mbowe ana akili na hekima, atachukua maamuzi kwa kuzingatia mambo mengi, na zaidi ni maslahi ya Taifa, chama na Watanzania wenye dhamira njema.

Njama zenu Mbowe anazitambya sana. Ninyi machawa ya mama, leo mnajifanya marafiki wa Mbowe, kumbe dhamira zenu ni chafu. Lengo ni kutaka lumchafua Mbowe ili ionekane washauri wake ni majitu punguani kutoka Chama Cha Mashetani.
 
Shtuka. Huoni machawa wote wanamtaka mbowe
Hiyo haiondoi ukweli kuwa zama za Mbowe zimeisha. Umesahau pia Lipumba alishinda akiwa CUF? Uliona kilichoipata CUF baada ya Maalim Seif kuondoka? Zama za siasa za kulindwa na machawa zimepita boss.
 
Hivi mnamwonaje Mwenyekiti Mbowe? Mnaamini ni punguani kama ninyi? Yaanimnaaminikuwa Mbowe amekosa watu wenye akili timamu wa kumshauri mpaka akachukue ushauri kutoka kwa mapunguanichawawa Samia?

Mbowe ana akili na hekima, atachukua maamuzi kwa kuzingatia mambo mengi, na zaidi ni maslahi ya Taifa, chama na Watanzania wenye dhamira njema.

Njama zenu Mbowe anazitambya sana. Ninyi machawa ya mama, leo mnajifanya marafiki wa Mbowe, kumbe dhamira zenu ni chafu. Lengo ni kutaka lumchafua Mbowe ili ionekane washauri wake ni majitu punguani kutoka Chama Cha Mashetani.
Acha povu jadili hoja ndio maana mnatukanana Kwa sababu hamnaga hoja nyumbu nyie
 
Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.

Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?

Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?

Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.


View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19

My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.

Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.

Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.


View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19

Ccm Tundu Lissu kawashikeni pabaya sana. Mbaya zaidi MBOWE jumamosi atamuunga rasmi mkono Tundu Lissu kwa kutogombea nafasi ya Mwenyekiti
 
Hata mimi Mwenyewe nitamshangaa sana Mbowe akimwachia lissu chama ili akiharibu kwa kushirikiana na wanaharakati uchwara waliokosa muelekeo na Dira. Embu fikiria eti akina SATIVA ndio wafadhili wa pesa ya kuchukulia Fomu
 
Back
Top Bottom