Ndio mjue kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi na familia yakeKuna shida hii nchi aisee..!🚮🚮🚮
Nyie Machadema,Mimi wa nanyumbu nalima korosho Beberu anahusikaje kwenye maisha yangu? Nyie endeleeni kupakatwa hukoMbona ni Tanzania nzima kuishi kwetu tunategemea mabeberu.
Kunguni wa mama Abdul mmeanza lini kumshabikia mtu mliyemuita Mugabe?
Mpo busy na Mbowe wakati chama chenu mwezi wa 5 sasa hamna makamu mwenyekiti na mnasema mwakani fomu ni moja tu sasa maamuzi ya kimugabe ni ya chama gani?
Kunguni ni kunguni tu!
View attachment 3179817
Kuna shida hii nchi aisee..!🚮🚮🚮
Wamemwonea Mbowe,yule mwingine hajali Wala nini🤣🤣CCM wanaweweseka! Wasiomtaka anagombea😂😂😂😂😂
Duu ,hivi huyu Mzee Mbowe hanaga aibu hata kidogo?
Aibu gani? Wewe na Mbowe nani anatakiwa kuwa na aibu? 👇👇Duu ,hivi huyu Mzee Mbowe hanaga aibu hata kidogo?
Mnaharibia sanaMbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.
Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?
Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?
Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19
My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.
Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.
Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19
Nasema hivi, mabadiliko yakifika yamefika tu, hizo siasa za hadaa za kualika watu nyumbani ni za kiccm, ndio Lowassa nk walikuwa wanatumia. Lisu hahitaji kundi kubwa la kuhonga, yeye yuko na sisi waumini wa kweli wa mabadiliko. Na kwa taarifa yako Lisu hahitaji kuwa cdm ili kufanya hizo siasa za hadaa, kama huamini, Lipumba pia alijidanganya akawa nje ya siasa za kweli, Maalim Seif aliondoka na kundi zima la wafuasi wa CUF, Lipumba akabaki lipumbavu. Na Mbowe akibugi akawa nje ya mabadiliko imekula kwake.
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869377455506731291?t=vDeWJfRySAWVwIIHmm2fTw&s=19
Chama kina wenyewe kina Mbowe sio chama Cha wahamiaji harafu na vibaraka wa kina Amsterdam 🤣🤣
Mbowe sio Mugabe tena ?
Sio kweli maana watu wanaruhusiwa kugombea uwenyekitiNdio mjue kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi na familia yake
Waliodai vieteli hazifai wanatafita hizo hizo Vieteli 😆😆😆👇👇Nasema hivi, mabadiliko yakifika yamefika tu, hizo siasa za hadaa za kualika watu nyumbani ni za kiccm, ndio Lowassa nk walikuwa wanatumia. Lisu hahitaji kundi kubwa la kuhonga, yeye yuko na sisi waumini wa kweli wa mabadiliko. Na kwa taarifa yako Lisu hahitaji kuwa cdm ili kufanya hizo siasa za hadaa, kama huamini, Lipumba pia alijidanganya akawa nje ya siasa za kweli, Maalim Seif aliondoka na kundi zima la wafuasi wa CUF, Lipumba akabaki lipumbavu. Na Mbowe akibugi akawa nje ya mabadiliko imekula kwake.
Hivi mnamwonaje Mwenyekiti Mbowe? Mnaamini ni punguani kama ninyi? Yaanimnaaminikuwa Mbowe amekosa watu wenye akili timamu wa kumshauri mpaka akachukue ushauri kutoka kwa mapunguanichawawa Samia?Mbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.
Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?
Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?
Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19
My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.
Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.
Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19
Hiyo haiondoi ukweli kuwa zama za Mbowe zimeisha. Umesahau pia Lipumba alishinda akiwa CUF? Uliona kilichoipata CUF baada ya Maalim Seif kuondoka? Zama za siasa za kulindwa na machawa zimepita boss.Shtuka. Huoni machawa wote wanamtaka mbowe
Acha povu jadili hoja ndio maana mnatukanana Kwa sababu hamnaga hoja nyumbu nyieHivi mnamwonaje Mwenyekiti Mbowe? Mnaamini ni punguani kama ninyi? Yaanimnaaminikuwa Mbowe amekosa watu wenye akili timamu wa kumshauri mpaka akachukue ushauri kutoka kwa mapunguanichawawa Samia?
Mbowe ana akili na hekima, atachukua maamuzi kwa kuzingatia mambo mengi, na zaidi ni maslahi ya Taifa, chama na Watanzania wenye dhamira njema.
Njama zenu Mbowe anazitambya sana. Ninyi machawa ya mama, leo mnajifanya marafiki wa Mbowe, kumbe dhamira zenu ni chafu. Lengo ni kutaka lumchafua Mbowe ili ionekane washauri wake ni majitu punguani kutoka Chama Cha Mashetani.
Ccm Tundu Lissu kawashikeni pabaya sana. Mbaya zaidi MBOWE jumamosi atamuunga rasmi mkono Tundu Lissu kwa kutogombea nafasi ya MwenyekitiMbowe atakuwa hazimtoshi kama atakubali kuachia Chama Kwa mhamiaji haramu ambao anatumikishwa na wanaharakati njaa, Mabeberu na Amsterdam Kwa maslahi ya mashoga.
Ikumbukwe huyo bwana anafadhiliwa na vibaraka walioko Nje ya Nchi alikoficah familia yake.Hajui jioni Wala uchungu wa hicho chama,alihamia akakikuta Kiko on fire na angeweza enda Vyama vingine Kwa nini aje kuleta upuuzi Chadema?
Kama Mbowe atabwaga Manyanga hiyo jumamosi basi wewe utakuwa ni mtu dhaifu na kamanda uchwara kuachia Chama Kwa mateka wa wahuni wa Nje ya Nchi.Uchonge kinyago Mwenyewe harafu utishike nacho?
Kama anaona ni rahisi kukuza chama Kwa zaidi ya miaka 20 basi Akaanzishe chake sio.kudandia chama Cha mwingine.
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=fviDIMRMPdhIkO5LebFmnw&s=19
My Take
Nafurahia sana haya Machadema yanavyozodoana ,kudhalilishana na kuumbuana.
Sasa tumefahamu waliodai wanataka kuwakomboa Watanzania kumbe wanatakiwa wakombolewe wao 🤣🤣🤣🤣🤣.
Laana ya kumtukana Samia itawatafuna sana Hadi muwe kama CUF.
View: https://x.com/MwanaHabariNews/status/1869332440990503312?t=oyvIaEAx8Q2sOdwc_zQxRw&s=19