Pre GE2025 Mbowe Usikubali Kuachia Chama Ulichokipigania Kwa Jasho, Damu na Fedha kwa Mhamiaji wa NCCR-Mageuzi, kama ni rahisi Akaanzishe Chake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hoja ya kijinga sana,kama CCM inajua siasa mbona inaiba kura na kuharibu Chaguzi au kuwa Chama cha Mapolisi ndiyo kujua Siasa hata Chama cha BAATH cha Assad wa Syria kilikuwa kinajifanya kujua Siasa lakini leo kiko wapi?
Ndio sehemu ya saisa hiyo na wewe na chama chako si muibe ? πŸ˜‚

SSH Amewakomesha.
 
Haya mahaba ghafla mmeyatoa wapi na mbowe?
Mbona hii ndoa ina bashasha sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…