Naunga mkono hoja at the expense of mboweKwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Kabisa ni rasmi naona chama kinataka kutekwa na wanaharakati uchwara.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Kama anataka asiachie abadilishe aina ya siasa au aje na mpango mkakati utakao utow chama hapo kilipo, else aondokeKwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Kwani haya hayatokei Kwa Chama tawala??Hahahaha upinzani behind the scene.
Namuunga mkono mbowe, akiachia chama ndo mwisho wa chadema.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Kutangaza ni kwa kua leo ni mwisho wa kuchukua fomu, otherwise alijulikana toka awali yupo na lisuNaona John Heche amechafua kabisa hali ya hewa baada ya kutangaza kugombea, na pia kumuunga mkono Lissu.
Kama kuiba kura iba kura usimwachie Lisu chama. Fanya umafia wowote.. Utajuta kuzaliwaNamuunga mkono mbowe, akiachia chama ndo mwisho wa chadema.
Lisu hawezi kuelewana na wenzie ktk siasa, kama anaweza kutukana viongozi wakuu wa nchi akiwa hana mamlaka ya juu ktk upinzani akiwa mwenyekiti atazua tafrani na mamlaka hazitamvumilia.
Namsihi mama atumie instruments zake zite ku mu eliminate lisu toka kwenye siasa abaki mropokaji mtaani
Wewe Mbowe unamuonajeNaunga mkono hoja at the expense of mbowe
Ila Mbowe kukiuza chama kwa Abdul ni sawa?Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.