Hujui dunia wewe, kura lazima ziseme ,janjajanja yoyote tutagawana mbao , hii chama sio cha Mbowe ni chama cha wananchi,sasa leteni ujinga wa uchawa tutaelewana vizuriKwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Kuongoza vyama vyamabadiliko sio rahisi kama unavyofikiri.Unadhani kungekua na huo ukomo kati ya wale waliowahi kugombea uko nyuma wangeshinda ina maana wangekua ndio wenyeviti unadhani hicho chama kingekua wapi kwa sasa?.Inawezekana ata nyie mnaopalilia hiyo agenda ya ukomo mna agenda yenu yakuja kupandikiza mtu wenu badae aje kukiny'ong'onyeze chama.Ccm bado ni chama chenye mipango mingi yakudhibiti wapinzani wake.kungekua na usawa wakisiasa hiyo ingekua agenda ila sio kwasasa kwasababu bado hakuna misingi sawa yakisiasa.tupunguze mihemko na uchawa tutazame uko mbele zaidi badala ya hapa karibu kwasababu ya mikumbo na upepo.Mengine tuache kura ziamue.Haha atakufa akitamka neno "peoples power" huku power iko mikononi mwake, not on people's hands
Mnaimba Demokrasia ila uhalisia mchungu hakuna demokrasia ndani ya CHADEMA.
Unaongoza chama 20 years na bado unaona Tanzania nzima more than 60 million people hakuna mrithi
Inakuwaje kiongozi kama hujaandaa wa kukurithi
Kama mdau wa Demokrasia naumia mno. .
Huyo Museveni ataumbuka awamu hii, huku mashinani kapoteza uungwaji mkono kwa kiwango kikubwa mnoKwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Brother demokrasia inampa mru uhuru wa mtu kumchagua kiongozi amtakaye. Kama wewe ulivyotaka kumchagua mbowe basi na mimi nina haki ya kuchagua kiongozi wa chama chetu awe Tundu LissuKuongoza vyama vyamabadiliko sio rahisi kama unavyofikiri.Unadhani kungekua na huo ukomo kati ya wale waliowahi kugombea uko nyuma wangeshinda ina maana wangekua ndio wenyeviti unadhani hicho chama kingekua wapi kwa sasa?.Inawezekana ata nyie mnaopalilia hiyo agenda ya ukomo mna agenda yenu yakuja kupandikiza mtu wenu badae aje kukiny'ong'onyeze chama.Ccm bado ni chama chenye mipango mingi yakudhibiti wapinzani wake.kungekua na usawa wakisiasa hiyo ingekua agenda ila sio kwasasa kwasababu bado hakuna misingi sawa yakisiasa.tupunguze mihemko na uchawa tutazame uko mbele zaidi badala ya hapa karibu kwasababu ya mikumbo na upepo.Mengine tuache kura ziamue.
Leta ushahidi.hii jamii forum ilikua ni forum ya watu wenye kujadili mambo kwa fact na uhakikasio porojo za vijiwe vya kahawa.kwahiyo leta fact watu wajiridhishe.kama huna maana yske unasambaza majungu tu na umbea bila kujua hizo ni agenda za watu.Ila Mbowe kukiuza chama kwa Abdul ni sawa?
Homeboy, pole sana.Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Namuunga mkono mbowe, akiachia chama ndo mwisho wa chadema.
Lisu hawezi kuelewana na wenzie ktk siasa, kama anaweza kutukana viongozi wakuu wa nchi akiwa hana mamlaka ya juu ktk upinzani akiwa mwenyekiti atazua tafrani na mamlaka hazitamvumilia.
Namsihi mama atumie instruments zake zite ku mu eliminate lisu toka kwenye siasa abaki mropokaji mtaani
Kwani nani asiyejua kuwa Abdul kamrambisha asali yeye na chawa wake?Leta ushahidi.hii jamii forum ilikua ni forum ya watu wenye kujadili mambo kwa fact na uhakikasio porojo za vijiwe vya kahawa.kwahiyo leta fact watu wajiridhishe.kama huna maana yske unasambaza majungu tu na umbea bila kujua hizo ni agenda za watu.
Chawa wake hawana hata hojaKwani Chadema ni mali ya Mbowe mnaanza kusema asiachie Chama huyu Mbowe ndio alikua anagombea Uraisi angepata si mngesema asiachie Urais kwa gharama yeyote ile bora alikua anakosa hakuna mtu hapo..
Jisemee mwenyewe.Nchi bado ina watu wengi sana ambao wana mitazamo tofauti.Tena inawezekana ndio wakajitokeza wengine wa maana zaidi.Huyo Museveni ataumbuka awamu hii, huku mashinani kapoteza uungwaji mkono kwa kiwango kikubwa mno
Harafu utakuta wanawalaumu CCM kumbe na wao ni wale wale..Chawa wake hawana hata hoja
Mbowelism mmeshanganyikiwa sasa. Tulieni dawa iwaingie. Chawa wakubwa nyie!Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake!
Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea.
Leta ushahidi.mambo yakuongea porojo sio wakati wake.kama wewe ndio mtoaji au mpokeaji tuthibitishie.Kuna siku utajidharau kwakua na akili zakuamini mambo kirahisi.kila mtu anaweza kukuongelea lolote cha msingi maelezo yaambatane na ushahidi.Kwani nani asiyejua kuwa Abdul kamrambisha asali yeye na chawa wake?
Chama awamu hii kinarudi kwa wanachama
Ata wewe ni chawa wa upande mwingine uliyesombwa na upepo bila kujielewa.Mbowelism mmeshanganyikiwa sasa. Tulieni dawa iwaingie. Chawa wakubwa nyie!
Wala hakuna anayebishana kwasababu hivi vyama vilianzishwa na watu na vitapita.Ninachokisema mimi ni kumbagaza mbowe bila ushahidi kwa mambo yanayozungumzwa na wapinzani wake.Hiyo sio sawa kwa mtu anayejielewa.mtu ahukumiwe kwa haki.Uko kwenye kura wahusika watajua wenyewe kwasababu hizo ni siasa tu na zitapita.Brother demokrasia inampa mru uhuru wa mtu kumchagua kiongozi amtakaye. Kama wewe ulivyotaka kumchagua mbowe basi na mimi nina haki ya kuchagua kiongozi wa chama chetu awe Tundu Lissu
Miaka 20? Miaka 20? Hapana hapa imefika mwisho awape kijiti na wengine wachagua kiongozi wanayemtaka
Tundu Lisu ana haki ya kugombea na wajumbe wataamua nje ya hapo sina cha kubishana
Laurent sisi tunaona mbali, far sighted....... hakuna uchawa , Mbowe hanpii chochote na sipati chochote toka chadema as an indiviual. Ni ie kazi ya chadema kutafuta hali bora za vizazi vyetu.Mbowelism mmeshanganyikiwa sasa. Tulieni dawa iwaingie. Chawa wakubwa nyie!